stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.
Last edited by a moderator: