mmh najihisi mie mgeni humu!!

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.
 
Last edited by a moderator:
He he he.........naona mie umenimiss zaidi kunimention mara mbili...........mwaya karibu........mi mwenyewe nimekuja jana........halafu nipo sana........
wacha wewe mzima wewe!
nadhan ushakua mama wa makamu!
 
hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.

Hahahahaaa...!! karibu sana mkuu. Sasa hivi utakua ushatemwa mara 9 na wapenzi wako tangu upotee. Njoo unipe mikakati. mia
 
karibu mwaya nimekukumbukaje? ulipotelea wapi wewe?

hivi unajua kuwa Elyer amesimikwa kuwa PAROKO MKUU
wa jimbo la mashariki na kati upande wa mmu?


Umekosa vitu vya maana kweli ulikwenda kulina asali kigoma?
 
stevoh karibu sana tulikumith mno
Nina mke anaitwa Dena Amsi na mchepuko unaitwa miss chagga hao usiwaguse na wakati huo huo namkiss Khantwe ambaye ni mke wa Ntuzu na Kasinde mke wa Tized na wakati huo huo Tyta naona anakuja kwa kasi kuwa na nyumba ndogo nyingi Baba V ambaye alikuwa mwenyekiti kashapotea kwa kuwa aalikamatwa na mke wa mtu na Arushaone mpaka sasa ahjui mke wake ni nani wakati alikuwa King Mswati wa Chit chat Preta amezidi kupendeza na kwa sasa amekuwa katoto kabisa wakati huo huo Chocs amemkana Erickb52
cc kiwatengu, Mndengereko, Tized, utafiti, Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
stevoh karibu sana tulikumith mno
Nina mke anaitwa Dena Amsi na mchepuko unaitwa miss chagga hao usiwaguse na wakati huo huo namkiss Khantwe ambaye ni mke wa Ntuzu na Kasinde mke wa Tized na wakati huo huo Tyta naona anakuja kwa kasi kuwa na nyumba ndogo nyingi Baba V ambaye alikuwa mwenyekiti kashapotea kwa kuwa aalikamatwa na mke wa mtu na Arushaone mpaka sasa ahjui mke wake ni nani wakati alikuwa King Mswati wa Chit chat Preta amezidi kupendeza na kwa sasa amekuwa katoto kabisa wakati huo huo Chocs amemkana Erickb52
cc kiwatengu, Mndengereko, Tized, utafiti, Ntuzu

Naam shemejiii
 
Kasinde hivi unajua nakumiss mbaya halafu sijaja kwako muda sana sijui nije lini aise kukusalimia
 
Last edited by a moderator:
Ulikua wapi... hukua na mke kwani?!!

Karibu tena, mwenzio bado msichana mbichiiii..... Sijawa mmama nitake radhii
umesema hujawa mmama??? tangu lini??? ipite miaka yote hiyo bado??
 
karibu mwaya nimekukumbukaje? ulipotelea wapi wewe?

hivi unajua kuwa Elyer amesimikwa kuwa PAROKO MKUU
wa jimbo la mashariki na kati upande wa mmu?


Umekosa vitu vya maana kweli ulikwenda kulina asali kigoma?
nimesema sitaki mathwali mbona huelewi??
haya najua niko vyema na nimenenepa sasa hivi!!
 
stevoh karibu sana tulikumith mno
Nina mke anaitwa Dena Amsi na mchepuko unaitwa miss chagga hao usiwaguse na wakati huo huo namkiss Khantwe ambaye ni mke wa Ntuzu na Kasinde mke wa Tized na wakati huo huo Tyta naona anakuja kwa kasi kuwa na nyumba ndogo nyingi Baba V ambaye alikuwa mwenyekiti kashapotea kwa kuwa aalikamatwa na mke wa mtu na Arushaone mpaka sasa ahjui mke wake ni nani wakati alikuwa King Mswati wa Chit chat Preta amezidi kupendeza na kwa sasa amekuwa katoto kabisa wakati huo huo Chocs amemkana Erickb52
cc kiwatengu, Mndengereko, Tized, utafiti, Ntuzu
kati ya taarifa mbaya nilizozipata nji hizi kwamba kaka mkubwa unaanzisha sacoss yako ambayo naiona tayari ina wanachama zaidi ya watano na mwenyekiti na katibu.
kilichomkuta kaka yangu Arushaone polee alafu mie namwamini kaka erickb53 kua yuko vizur
 
Last edited by a moderator:
stevoh karibu sana tulikumith mno
Nina mke anaitwa Dena Amsi na mchepuko unaitwa miss chagga hao usiwaguse na wakati huo huo namkiss Khantwe ambaye ni mke wa Ntuzu na Kasinde mke wa Tized na wakati huo huo Tyta naona anakuja kwa kasi kuwa na nyumba ndogo nyingi Baba V ambaye alikuwa mwenyekiti kashapotea kwa kuwa aalikamatwa na mke wa mtu na Arushaone mpaka sasa ahjui mke wake ni nani wakati alikuwa King Mswati wa Chit chat Preta amezidi kupendeza na kwa sasa amekuwa katoto kabisa wakati huo huo Chocs amemkana Erickb52
cc kiwatengu, Mndengereko, Tized, utafiti, Ntuzu

user-online.png
stevoh:A S wink::A S wink: to you sweety....... eti unahela? karibu yani japo ujanitaja karibu mweeee njoo huku nikupe juice badae nitakupa mbege.... Khantwe sihitaji mumeo tena Ntuzu... nipo na stevoh huku .... baby Mr Rocky i stil love but chunga ndoa yako kwanza nipo na kitu kipya ila nipo kwenye kautafiti kidogo kujua anahela au hana ? kama anazo kwa kweli kuanzia sasa mpaka atakapo rudi migodini nipo nae huyu mgeni wetu stevoh... mweee stevoh karibu sana nimefurahi kukuona:A S wink::A S wink::A S wink:
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom