Mmesema ninyi bado Wanachama na bado Wabunge halali sasa mnakata rufaaa kupinga nini?

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,680
Mnasema hamtambui Mamlaka ya CHADEMA iliyowavua Uanachama wa CHADEMA. Halafu hapo hapo mnasema mnakata rufaa hahahaa yaani haa bwana misiba katika press huonekana ana nafuu pamoja na uchumia tumbo wake kuliko ninyi.

Mmesema ninyi bado wanachama na bado wabunge halali sasa mnakata rufaaa kupinga nini? Mnadhani sisi wote ni wajinga eeh?
Sir Alex Ferguson aliwahi kumrushia viatu David Bekham alipo anza kuleta mzaha ktk mazoezi ya timu yake akijifanya yeye ni mtu bora zaidi. Sir Alex alimwambia Bekham kuwa hakuna mtu aliye mkubwa kuliko Manchester united.

Msijidanganye covid19 mkadhani ninyi ndio CHADEMA. CHADEMA imejengwa katika imani mioyoni mwa watu. Mlipewa nafasi tuu kutoka miongoni mwa watu wengi sana ambao wanaipenda.
 
Siyo lazima uanzishe uzi.Mtu akishasema anakata rufaa maana yake kile kilichoamriwa na ma,mamlaka hakitekelezwi hadi majibu ya rufaa,labda waamue kutokata rufaa.

Ameshasema kua katiba ina toa muda wa siku thelathini kukata rufaa .Halafu kuvuliwa wanachama haikua haki pekee kumbuka kuna kuvuliwa uongozi.

Kwa vile baraza kuu ni chombo cha CHADEMA ni busara kwa wanachadema kubaki kimya katika hili ili kuacha vyombo vya ndani kulimaliza.

Hii tabia ya extra judicial inazigharimu taaasisi.Ili kuonesha kua CHADEMA ni chama cha demokrasia ni lazima kishughulike na matatizo yake kwa namna bora ya CCM au vyama vingine na maamuzi ni muhimu yawe wa kitaasisi kuliko kufuata mihemko ya wanachama au wakaleketwa.

Hata kama mbingu zitaanguka haki ni lazima itendeke na ionekane kutendeka.Tusubiri maamuzi ya mwisho.Kuna nafasi ya kusettle ambayo ni muhimu pia kama ukigundua kuwa kulikua na tatizo la kiufundi
 
Mnasema hamtambui Mamlaka ya Chadema iliyo wavua uanachama wa Chadema. Halafu hapo hapo mnasema mnakata rufaa hahahaa yaani hta bwana Misiba ktk press huonekana ana nafuu pamoja na uchumia tumbo wake kuliko ninyi...
Hata hivyo bado wameanza kuona aibu
 
Mnasema hamtambui Mamlaka ya Chadema iliyo wavua uanachama wa Chadema. Halafu hapo hapo mnasema mnakata rufaa hahahaa yaani hta bwana Misiba ktk press huonekana ana nafuu pamoja na uchumia tumbo wake kuliko ninyi...
Umejaa jaziba na uchungu Kama nyongo waliambiwa wanaweza Kata rufaa wewe unakataa, wewe ndo Mte au?
 
Mnasema hamtambui Mamlaka ya CHADEMA iliyowavua uanachama wa CHADEMA. Halafu hapo hapo mnasema mnakata rufaa hahahaa yaani haa bwana misiba katika press huonekana ana nafuu pamoja na uchumia tumbo wake kuliko ninyi...
Hawaja sema wao ni wabunge halali.. Bali wamesema wana tafuta maridhiano. Na ikishindikana wako radhi wapelekwe wabunge wengine. Chadema kwa sasa hawatakiwi kulumbana kwenye media.
 
Binafsi nawapongeza covid 19 kwa kuamua kutafuta haki Yao ya uwanachama kwenye chama Chao badala ya kuwasikiliza watesi wao kina ndugai.Ushauri wangu kwao wakienda Baraza kuu ajenda Yao iwe kupigania uwanachama wao kwanza, habari za ubunge wasahau kwanza.Kama kweli wanakipenda chama Chao waheshimu maelekezo ya chama watakayopewa huko.Swala la mahakamani wasahau kabisa, nje ya hapo tatizp.
 
Hawaja sema wao ni wabunge halali.. Bali wamesema wana tafuta maridhiano. Na ikishindikana wako radhi wapelekwe wabunge wengine. Chadema kwa sasa hawatakiwi kulumbana kwenye media.
Kosa kubwa la halima na wenzao ni kulazimisha hoja ya viti maalumu nje ya vikao na utaratibu rasmi wa chama chao.kiuzalendo kabisa, kwa vile wameshavuliwa uwanachama nawashauri wasiingie bungeni kwanza mpaka rufaa iamuliwe.
 
sio lazima uanzishe uzi.Mtu akishasema anakata rufaa maana yake kile kilichoamriwa na ma,mamlaka hakitekelezwi hadi majibu ya rufaa,labda waamue kutokata rufaa.Ameshasema kua katiba ina toa muda wa siku thelathini kukata rufaa .Halafu kuvuliwa wanachama haikua haki pekee kumbuka kuna kuvuliwa uongozi...
Huu uzi wako kauunganishe wa Paskal Mayalla

Mlimfukuza Sophia simba uanachama nani aliwauliza, pia membe nani aliwauliza acha kuingilia yasiyokuhusu
 
Siyo lazima uanzishe uzi.Mtu akishasema anakata rufaa maana yake kile kilichoamriwa na ma,mamlaka hakitekelezwi hadi majibu ya rufaa,labda waamue kutokata rufaa...
Rule of law should be a cornerstone of our nation! Even the persons that have the power to be above the law by instruments, should observe the existence of such instruments as the law itself!

Wenye mamlaka wasitumie mapungufu ya kisheria yanayotoa mianya ya ubabe kuwa wababe. Huo ni ushamba uliopitiliza.
 
Siyo lazima uanzishe uzi.Mtu akishasema anakata rufaa maana yake kile kilichoamriwa na ma,mamlaka hakitekelezwi hadi majibu ya rufaa,labda waamue kutokata rufaa...
Tume ya Taifa ya uchaguzi yafafanua kuvuliwa ubunge Sophia Simba baada ya kuvuliwa uanachama CCM
 
Watu tuna majeruhi ya Uchaguzi, halafu Halima anakubali kutumika na waliotujeruhi kutuvuruga, kwa VIPANDE vya Kodi zetu, kweli..!
Hao ndio imetoka sioni popote chama changu CHADEMA kitakapo wa amini tena, sioni.
 
Ni sawa na wanafamilia wako au kikundi kiamue kukufukuza useme unakata rufaa. Unakata rufaa wapi kwa mfano? Mahakama au kwa uongozi wa iyo jumuia???
 
Back
Top Bottom