Mmemsikia Rais anajuta kuwa Rais!

Nyie mtakuwa majipu! Kujiandaa maana yake nini? Unajiandaaje kuwa rais, kwa mfano? Ni maandalizi ya aina gani ya urais unayafanya? jaribuni kuzielewa hizi kauli zinapotolewa. Acheni hizo bhana!
 
Tatizo liko wapi, kwani ww haujawahi fanya maamuzi ambayo baadae unakuja jilaumu.

Anaona mzigo ulioko mbele yake ni mzito

Kuna maamuzi ambayo unatakiwa ufanye ukiwa na uhakika aslimia mia kuwa hutakuja kujuta au kujilaumu baadaye. Mojawapo ni kuwa kiongozi mkuu wa nchi....!!

Alitakiwa kuelewa kabisa kuwa mzigo ulio mbele yake ni mzito, na unahitaji uwe umejizatiti kuubeba.
 
Huyu ambaye hakujiandaa ndiye anayetufaa kwa sasa. Huyu aliyemaliza muda wake na kundi la marafiki zake (akiwemo yule mzee mwenye mvi nyingi) walijiandaa kwa miaka kumi kabla ya yeye kuwa rais na wote tunaona walipotufikisha. Na yule mwenye mvi nyingi na kundi la marafiki zake walijiandaa kwa miaka ishirini nina uhakika angetufikisha pabaya zaidi ya huyu aliyemaliza muda wake. Huyu ambaye ametambua ukubwa wa shughuli iliyo mbele yake baada ya kuapishwa ndiye atatusaidia kuturejesha kwenye mstari baada ya kuwa tumeingia kwenye korongo kubwa ya rushwa na udisadi. Tumuunge mkono na kumtia moyo kuwa anaweza ili aturejeshee nchi kwenye mstari.
 
Ww ni ngombe huna ulijualo zaid ya ushabiki kama inzi kwenye mzoga, jiulize kwann sokoine alikufa kifo cha utata na ilikuwa kwann, fuatilia vifo vya akina malcom x, John kennedy,..

Uongozi unakuja kuwa magumu pale unapompigania mnyonge na kumbana aliyenacho na ndio hapo hata uliyekuwa unamwona ndg yako au rafki yako anakuwa adui yako, lakn ukiwa na akili kama yako utasema hakujipanga ungemleta mamaako basi yeye si ndio akijipanga
Ndugu Mgirik una hoja nzuri na mifano ya ku-support hoja yako. Ungeweza kabisa ku-jenga hoja hiyo bila kumtukana mtoa hoja wa awali. Kama msomi na muelewa unatakiwa ujue kuwa matusi hayajengi hoja bali yanaonesha kuwa uko "desperate" kulazimisha watu wakubaliane na wewe.
 
Kuna siku nilihoji tamko la Rais kuwa hakujiandaa kuwa Rais! Watu walinizomea sana! Sasa leo ametoa tena kauli ya kushangaza kuwa anajuta kuutaka Urais...!

Hivi hili halina uhusiano na kauli kuwa hakujiandaa kwa majukumu haya... Kwa maneno yake "alikuwa anabeep! :-
Uko sahihi kabisa mkuu, hakujipanga
 
Acheni tafsiri zenu zisizo na mashiko,maana ya kusema anajuta kuwa Rais ni changamoto anazozipata na si kwamba hakujiandaa, kujiandaa alijiandaa kwa maana ya kupambana na Genge la Mafisadi walionyonya nchi hii na wanaendelea kuwanyonya wananchi kwa kutumia vyeo vyao, uwanaharakati wao wa kujifanya wanatetea wanyonge , Wanasiasa Uchwala ndani ya CCM yenyewe na Vyama vya Upinzani wanaojifanya wanatetea wananchi kwa kujifanya wamevaa ngozi ya Kondoo kumbe ni Mbwa wakali na kelele nyingi Bungeni ikiwa ni kiini macho kwa wananchi wanyonge Huku wakishibisha matumbo Yao na familia zao Huku waliowapigia Kura wakihangaikia mlo wa siku na kesho hawaijui... Haya yote ndo yanamfanya Mh Rais azungumze hivyo...

1. Mfano Chama cha Chadema viongozi na Wabunge wao walikuwa mstari wa mbele kuikosoa Serikali iliyopita na masuala ya Ufisadi, ajabu leo wamekuwa mstari wa mbele kutetea Mafisadi na wafujaji wa rasilimali za Taifa hili..

2. Mh Rais amekuwa mstari wa mbele kupambana na Ufisadi na leo hii Wanasiasa ndo wamekuwa mstari wa mbele kuikosoa Falsafa hiyo ya kuutokomeza Ufisadi.... Kwa nini Mh Rais asijute na kujuta si kushindwa.

3.Huu ndio mtazamo wangu wadau, na siyo kwamba hakujiandaa

4.Rais wetu mpendwa alijiandaa kwa hili na kinachomshangaza alitegemea wale waliokuwa wakipiga kelele kuwa Serikali inakumbatia Mafisadi (CDM) leo ndo wapingaji na waungaji mkono wa Ufisadi na manyonyaji ya jasho la Watanzania.
 
Back
Top Bottom