Ccm sasa mmefikia mwisho wenuSio kila kitu lazima uone wewe
...UNAAKA?.....Sikushindi wewe. Maana hata hueleweki unaaka nini katika hiki kinachoendelea. Kuwa na akili yako usifuate mkumbo.
Ili iweje?Ama kweli Watanzania hamna shukurani...
Basi hapo ndio tumelala pono wacha tuanze kutafuta fidiaWataalamu huwa wskipewa kazi yenye masilahi ya kisiasa huwa wsnakuwa wanasiasa tu.
Mjiandae kulipa fidiaNaona kibaraka wa edo unakata mauno thread yote......endelea kutafuna pesa za fisadi ila ikulu ataishia kuiona kwenye luninga tuu
Na maccm ndio walikuwa wanaushadadia kama mazuzu vileLema huwa anawaambia kila siku...angalieni nchi sio matumbo yenu.
kuna mswaada wa Gesi ulipitishwa fastafasta..majanga mengine
Kaelewa aliyejibiwa kama utakavyoelewa majibu haya mtoto. Binti umevunja ungo usiwe na kihelehele....UNAAKA?.....
Kaelewa aliyejibiwa kama utakavyoelewa majibu haya mtoto. Binti umevunja ungo usiwe na kihelehele.
Huyu professor mruma mbona hakuonyesha operation cost za hawa watu, make kila kupata faida lazima uwe umetoa gharama zote.
Na huyu tena? Uwe basi unafanya na mazoezi huenda kihelehele cha kuvunja ungo kita pungua. Unataka ufanane na bi mkubwa wako kwa kupata mtoto ukiwa darasa la tano.
Ilikujua watanzania ni watu wa ajabu comment kama hii kuna watu wamelike!! Ndiyo maana kukabidhi report tu tunafanya sherehe.Kwani ripoti kaandikiwa nani
Is it a public document?
Jiongeze hili game ni kubwa sana
Aliyetaka kashapewa wewe unaulizia.
Una utaalamu gani kwenye madini.
Au ndo vile wakina kilambasi
Hii ni ripoti yako ya kwanza ya Tume ya uchunguzi ya rais? Kama jibu ni ndio, basi ni uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo na nakusamehe. Kama jibu ni hapana, nakuuliza swali: je hakuna ripoti ya tume ya rais iliyowahi kuwekwa hadharani (soft copy) baada ya kukabidhiwa rais? je, wajua kuna ripoti za tume ya bunge? nazo baada ya kukabidhiwa spika wa bunge hazikuwekwa hadharani? ukitaka mifano nitakupa kwa leo, kafanye hii assignment/homeworkKwani ripoti kaandikiwa nani
Is it a public document?
Jiongeze hili game ni kubwa sana
Aliyetaka kashapewa wewe unaulizia.
Una utaalamu gani kwenye madini.
Au ndo vile wakina kilambasi
Tumezoea hayo matamshi tokea 1995Ccm sasa mmefikia mwisho wenu
Jiandaeni kuburuzwa mahakamani sasaTumezoea hayo matamshi tokea 1995
Kuburuzwa mahakamani ni haki yao lakini hawapati ushindi.Jiandaeni kuburuzwa mahakamani sasa
Mbona kila siku Lissu anawagaragaraza?otherwise mumpigie magoti Lissu awateteeKuburuzwa mahakamani ni haki yao lakini hawapati ushindi.
Msitishike,zamani serikali ilikuwa inashindwa kesi kwa kuwa wanasheria wetu walikuwa wanachinja mpira golini kwetu unategemea nini?Au unamuweka wakili mkono gharama za kesi zinazidi mnachodaiwa.
Kwa utawala huu hakuna hicho.hata wale samaki hakukua na ha sababu serikali kushindwa na ndio maana unaona hata mafisadi hayajaanza kumiminika kwenye mahakama yao,hatutaki kukosea!
Mkosee mara ngapi? Subiri kupata yale ya samakiKuburuzwa mahakamani ni haki yao lakini hawapati ushindi.
Msitishike,zamani serikali ilikuwa inashindwa kesi kwa kuwa wanasheria wetu walikuwa wanachinja mpira golini kwetu unategemea nini?Au unamuweka wakili mkono gharama za kesi zinazidi mnachodaiwa.
Kwa utawala huu hakuna hicho.hata wale samaki hakukua na ha sababu serikali kushindwa na ndio maana unaona hata mafisadi hayajaanza kumiminika kwenye mahakama yao,hatutaki kukosea!