Mmea wa Bangi na faida zake kiafya

Granite Mkushi

New Member
Sep 21, 2021
4
4
MMEA WA BANGI NA FAIDA ZAKE KIAFYA

Mmea wa bangi umekuwa unatumika na baadhi ya jamii za dunia, Afrika na Tanzania pia tangu kale. Kwa Tanzania, wahadazabe wanatumia huu mmea.

Mataifa tofauti tofauti hapa duniani yameanza kuutumia huu mmea kwa matumizi mbali mbali yakiwemo matumizi ya kiafya.

Baada ya ukoloni kuanza kushamiri hapa Afrika, mmea wa bangi ulipigwa marufuku kutokana na nguvu uliokuwa nayo katika kutibu magonjwa mbali mbali ukiwemo ugonjwa wa masikio.

Sikio likiwa linauma au kuvuja uchafu, inasaidia kuponya kabisa ugonjwa huo. Unafikicha na unachanganya maji kidogo Sana, kisha unakamulia kwenye sikio lenye shida na muda mfupi linapona kabisa.

Baada ya kuona umuhimu wa huu mmea, mataifa mengi yameanza kuuhalalisha utumike kwa matibabu. Mwaka 2018, mmea huu ulihalalishwa nchini Marekani katika jimbo la California kwa ajili ya matibabu.

Hatimaye mataifa mengine yaliamua kuhalalisha kwa ajili ya matumizi ya matibabu, mfano Malawi, Rwanda na Afrika Kusini.

Tafiti zinaonyesha kuwa, mtumiaji wa bangi hapati athari kama mtumiaji wa sigara, na hivyo kuimarisha mfumo wa upumuaji kwa kuyapa mapafu nguvu.

Pia bangi inapunguza unene, inapunguza kasi ya ugonjwa wa kisukari, inapunguza msongo wa mawazo kwasababu ya uwepo wa kampaundi za endocannabinoid zinazomsaidia mtu kuwa sawa.

Mwisho, serikali inashauriwa kuruhusu kilimo cha bangi ili kuimarisha afya na kukuza pia pato la taifa kwani kuupiga marufuku huu mmea ni kupoteza mabilioni ya pesa kila mwaka

View attachment 1949401.
 
History & Folklore
In ancient Egypt, marijuana was used to treat inflammations of the eye and “to cool the uterus.” First records of marijuana’s use in India date back to about 800 bce, where it is recommended for congestion. Famously, Queen Victoria took marijuana as an analgesic—in the 19th century the plant was a standard painkiller for menstrual pain and cramps. From 1840 to 1900, over 100 papers were published recommending marijuana as a medicine.
 
History & Folklore
In ancient Egypt, marijuana was used to treat inflammations of the eye and “to cool the uterus.” First records of marijuana’s use in India date back to about 800 bce, where it is recommended for congestion. Famously, Queen Victoria took marijuana as an analgesic—in the 19th century the plant was a standard painkiller for menstrual pain and cramps. From 1840 to 1900, over 100 papers were published recommending marijuana as a medicine.
Na inasemekana kuwa, mwaka 2020 kwenye kaburi linalosemekana kuwa kuwa la Solomon, zilikutwa bangi ndani ya chombo cha kifalme.

Pia kwenye makaburi ya mafarao wa misri, zilikutwa pia. Hii inadhihirisha wazi kuwa, bangi ni mmea wenye faida za kitabibu na kiuchumi pia
 
Inafaa kwa Watu wenye tatizo la mngurumo au kelele SIKIONI/KICHWANI..!?
Inafaa endapo zitatumiwa kitabibu zaidi kuliko mazoea. Maana si kila mtu anaweza kutumia ilimradi tu...na inapaswa itumike kwa kufuata vipimo. Yaani kama ina viti vingi vinavyofanya kichwa kutokuwa na itulivu, basi hivyo vitu vitolewe na kuangalia vinafaa kutengenezea nini cha ziada..
 
Bac unaweza kutujuza Mkuu njia bora ya kutumia kama dawa kwa tatizo hilo
Njia bora ya kutumia huu mmea kama dawa ni kama ifuatavyo

Kwa wale wenye matatizo ya kuumwa na sikio/masikio hata kama yanavuja, ni kuchukua bangi mbichi kisha unaifikicha na unaweka maji kama matone matatu au manne, kisha unadondoshea sikioni na kisha unatulia kwa muda. . nimefanya hivi kwa watu wawili na wamepona kabisa.

Pia inasaidia kumpa nafuu mgonjwa wa Kansa. Kwa wale wanaotaka kupata unafuu kwa kupunguza maumivu ya ugonjwa wa kansa, hii bangi huyumika hospitality na madaktari walishakiri kuwa no ukweli kwamba inaleta nafuu ya maumivu kwa wagonjwa wa Kansa. Kama Inaleta nafuu , ni dhahili kwamba inaweza kuponyesha kansa kabisa endapo utafiti zaidi utafanyika.
 
Back
Top Bottom