LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mkoa wa Tabora Mme na Mke wameuawa jana jioni baada ya kuvamia na watu wawili.
Mbele ya watoto wao marehemu Khalid na mkewe wameua kwa kucharangwa charangwa na watu hao wasiojulikana.
Na mpk sasa mtu mmoja ameshikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Ama kweli watu wamegeuka wanyama wakali wa mwituni.
Source vyombo mbalimbali vya hbr!
Mbele ya watoto wao marehemu Khalid na mkewe wameua kwa kucharangwa charangwa na watu hao wasiojulikana.
Na mpk sasa mtu mmoja ameshikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Ama kweli watu wamegeuka wanyama wakali wa mwituni.
Source vyombo mbalimbali vya hbr!