Mme na Mke wauawa kikatili! Kisa na mkasa!!!!! Tuchungulie wote!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Mkoa wa Tabora Mme na Mke wameuawa jana jioni baada ya kuvamia na watu wawili.

Mbele ya watoto wao marehemu Khalid na mkewe wameua kwa kucharangwa charangwa na watu hao wasiojulikana.

Na mpk sasa mtu mmoja ameshikiliwa kuhusiana na tukio hilo.

Ama kweli watu wamegeuka wanyama wakali wa mwituni.
Source vyombo mbalimbali vya hbr!
 
nani anasema tanzania kuna amani?majuzi mwalimu huko loliondo kauliwa jana hao tena tabora!amani ipo kwa wana ccm tuu
 
Ipo siku Mungu atalipa tu,kwan malipo ni hapa hapa duniani
 
JK lazima afikishwe kwa ocampo


Hili kwa huyu kwangu binafsi ningeambiwa nitoe majibu ni kwmb ningesema yani akimbizwe chap pamoja na mwenzie aliyemtangulia awamu ya tatu.

Vyombo husika na idara ya usalama ni janga tupu! Sijui kama tutafika kwa hali hii!
 
nani anasema tanzania kuna amani?majuzi mwalimu huko loliondo kauliwa jana hao tena tabora!amani ipo kwa wana ccm tuu



Ni kwmb matukio mengine hayaripotiwi kwn nakwambia yaweza ikawa kila kukicha kuna jipya kila siku kukicha! Halafu tunasema tupo miaka 50 ya uhuru!
 
Habari nilizozinyaka punde kupitia simu yangu ya mkononi ni kwmb hilo tukio limeacha simanzi kubwa kwa Ndg,jamaa na hata marafiki kwani marehemu wamecharangwa vipande vipande na mpaka wanakata kauli hakuna wa kusema kimbiza hosptal.

Yani kwa kweli hili limesikitisha jamii sana.
Ila hali hii imehusishwa na ugomvi wa shamba.
 
dunia inakwenda wap kama mpaka sasa tunafikia kuuwana mbele ya watoto wenu sijui wapi tunaelekea yaan
 
Back
Top Bottom