MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu

Apo sasa ndo tunapoanzia alikokua aseme haiwezekani usiku na kanga moja
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom