Mmatumbi ambaye ni mkuu wa polisi Venezuela ajiuzulu na kumtoroka Maduro

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,614
Mzuqa wanajamvi!

Aliapa atakufa na Maduro na kumlinda kwa maisha yake dhidi ya mabeberu. Ila jana kaandika kujiuzulu na kuunga juhudi za upinzani Venezuela dhidi ya Dikteta Maduro.

Manuel Ricardo Christopher Figuera ambaye alikuwa mkuu wa jeshi la polisi Venezuela na mfuasi mwaminifu wa Maduro alichukua uamuz mzito na wakijasiri. Hii inaonyesha kuna mpasuko mkubwa sana kwenye inner circle ya Maduro na it's just a matter of time.

Juzi tuliona Sudan naona Upepo u naelekea zaidi huko bara lingine. Huo Upepo Ukipiga u turn itakuwa zamu yetu na itakuwa shangwe.

Big up Mmatumbi mwenzetu.
12939414-6979389-In_a_possible_sign_that_Maduro_s_inner_circle_could_be_fracturin-a-6_15567006...jpg
 
U.S wanawaweka madarakani wanaowataka wao kwa maslahi yao kudadadeki
Likianzishwa hapa kwetu nitakuwa kama hao jamaa kwenye picha. Ukiwa Mwanaume hutakiwi kuwa muoga lazima usiamie unachikiamini na kupigania maslahi ya wanyonge na mustakabal wa taifa
12918002-6979389-In_one_dramatic_incident_during_a_chaotic_day_several_armored_ve-a-35_1556689...jpg
12917702-6979389-An_anti_government_protester_walks_near_a_bus_that_was_set_on_fi-a-37_1556689...jpg
12918002-6979389-In_one_dramatic_incident_during_a_chaotic_day_several_armored_ve-a-35_1556689...jpg
 
Sasa umatumbi hapa umeingiaje kwani huyo ni mmatumbi?
 
U.S wanawaweka madarakani wanaowataka wao kwa maslahi yao kudadadeki

Simple logic ikitiliwa maanani kuwa mteuzi ni serikali ya ama Chavez au Maduro; huyo polisi angewekwaje na US kupitia serikali isiyopendwa na US? Hebu tutumie akili zetu japo kidogo basi!
 
Back
Top Bottom