Mmasai aliamua kwenda kutembea jijini DAR..baada ya kukaa kwa muda wa mwezi mmoja hivi alimiss sana pombe yake na hakujua mahali pa kuipata...,siku moja akaamua kwenda Bar Maeneo ya kinondoni shamba...na mazungumzo yalikuwa hivi..,
..Baa medi-halloo karibu
..mmasai-aksante mamaaa.... ishiiii
..Baa medi-nikusaidie nini..!!
...mmasai akaangalia meza ya nyuma na ya mbele kwa haraka sana...,kisha akamwambia baa medi letea mimi kama ile..,akimaanisha safari kwani mteja wa meza ya mbele alikuwa anakunywa safari..
Baa medi...kaenda karudi na bia ya safari akamwambia mmasai hii hapa akwiii..
..Mmasai-Haya bomoa..!!(fungua)
..Baa medi-kafungua psiii
..Mmasai-sasa pima ya hansini.,
..Baa medi-halloo karibu
..mmasai-aksante mamaaa.... ishiiii
..Baa medi-nikusaidie nini..!!
...mmasai akaangalia meza ya nyuma na ya mbele kwa haraka sana...,kisha akamwambia baa medi letea mimi kama ile..,akimaanisha safari kwani mteja wa meza ya mbele alikuwa anakunywa safari..
Baa medi...kaenda karudi na bia ya safari akamwambia mmasai hii hapa akwiii..
..Mmasai-Haya bomoa..!!(fungua)
..Baa medi-kafungua psiii
..Mmasai-sasa pima ya hansini.,