Mmasai, Mmeru, Mpare, na Mkwere? eeh!!!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,463
39,929
Mimi naogopa watu wanapotambulisha kiongozi au mtu yeyote yule na kutanguliza au kumalizia kwa jina la kabila lake, kwani bado sijaelewa ni kwanini "Mmasai, Mmeru, Mkwere" itumike kumtambulisha mtu anayejulikana tayari kuwa ni mtu wa kabila fulani. Kutumia vielelevyo hivyo vya kikabila inahitaji kuonesha nini? Kwani Mnyakyusa Mwakyembe, na Mhaya Karamagi, na hata Mngoni Nchimbi au yule Mpare Mgonja n.k makabila yao yanahusiana vipi na ufisadi au uadilifu?

Kama ni muhimu kujua kabila la kiongozi ili tuweze kupima ufisadi na uadilifu haiwezekani kuwa tuna sentiments za kikabila au ukuu wa kikabila na kuona makabila mengine duni!? Lakini yawezekana kuna sababu za kutumia vitambulisho vya kikabila wanapozungumziwa baadhi ya viongozi (maana si wote) naomba mnidokeze na mimi nianze kutumia maana mara zote huwa natetemeka sana ninapoona hili; labda ndio uzee wenyewe huu. Au ndiyo nimepoteza sense yangu ya mizaha na utani wa jadi?
 
Mimi naogopa watu wanapotambulisha kiongozi au mtu yeyote yule na kutanguliza au kumalizia kwa jina la kabila lake, kwani bado sijaelewa ni kwanini "Mmasai, Mmeru, Mkwere" itumike kumtambulisha mtu anayejulikana tayari kuwa ni mtu wa kabila fulani. Kutumia vielelevyo hivyo vya kikabila inahitaji kuonesha nini? Kwani Mnyakyusa Mwakyembe, na Mhaya Karamagi, na hata Mngoni Nchimbi au yule Mpare Mgonja n.k makabila yao yanahusiana vipi na ufisadi au uadilifu?

Kama ni muhimu kujua kabila la kiongozi ili tuweze kupima ufisadi na uadilifu haiwezekani kuwa tuna sentiments za kikabila au ukuu wa kikabila na kuona makabila mengine duni!? Lakini yawezekana kuna sababu za kutumia vitambulisho vya kikabila wanapozungumziwa baadhi ya viongozi (maana si wote) naomba mnidokeze na mimi nianze kutumia maana mara zote huwa natetemeka sana ninapoona hili; labda ndio uzee wenyewe huu. Au ndiyo nimepoteza sense yangu ya mizaha na utani wa jadi?

Unapotetemeka huwa unalegea..?
 
Nyani leo umeamkia upande gani, maana kutaka kujua ninalegea au kinyume chake sijui inahusiana vipi na mada iliyopo halafu sijui inakusaidiaje kujadili mada hii.

Samahani kaka...huku leo tumeamka na thunderstorms na miti kibao imeanguka. Pia nilisahau kuwa leo ni Jummanne na si Ijumaa. Kwa kweli udadisi wangu wa kutaka kujua ulegevu wako hausaidii chochote mada hii. Kwa hili nimekosea na naomba tusameheane. Ila na wewe leo sijui umeamka vibaya maana si kawaida yako kung'aka kwa vitu vidogo vidogo...eniwei tuendelee na mapambano ya fikra.
 
Samahani kaka...huku leo tumeamka na thunderstorms na miti kibao imeanguka. Pia nilisahau kuwa leo ni Jummanne na si Ijumaa. Kwa kweli udadisi wangu wa kutaka kujua ulegevu wako hausaidii chochote mada hii. Kwa hili nimekosea na naomba tusameheane. Ila na wewe leo sijui umeamka vibaya maana si kawaida yako kung'aka kwa vitu vidogo vidogo...eniwei tuendelee na mapambano ya fikra.

I knew it!! kwa sababu na sisi tumepata bonge la snow and I almost nitelezed kwenye mtaro, ikabidi niangalie pembeni isije kuwa njama za mafisadi kukiharibu kibasikweli changu. The worst part hata lunch sijaleta na kibasikeli cha kusukuma na mkono hakiendi kwenye sno inakuwa kama mchangani! so, I understand my friend. Poleni huko.
 
Mimi naogopa watu wanapotambulisha kiongozi au mtu yeyote yule na kutanguliza au kumalizia kwa jina la kabila lake, kwani bado sijaelewa ni kwanini "Mmasai, Mmeru, Mkwere" itumike kumtambulisha mtu anayejulikana tayari kuwa ni mtu wa kabila fulani. Kutumia vielelevyo hivyo vya kikabila inahitaji kuonesha nini? Kwani Mnyakyusa Mwakyembe, na Mhaya Karamagi, na hata Mngoni Nchimbi au yule Mpare Mgonja n.k makabila yao yanahusiana vipi na ufisadi au uadilifu?

Kama ni muhimu kujua kabila la kiongozi ili tuweze kupima ufisadi na uadilifu haiwezekani kuwa tuna sentiments za kikabila au ukuu wa kikabila na kuona makabila mengine duni!? Lakini yawezekana kuna sababu za kutumia vitambulisho vya kikabila wanapozungumziwa baadhi ya viongozi (maana si wote) naomba mnidokeze na mimi nianze kutumia maana mara zote huwa natetemeka sana ninapoona hili; labda ndio uzee wenyewe huu. Au ndiyo nimepoteza sense yangu ya mizaha na utani wa jadi?
Duuuh
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom