mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Habari za mda huu,
Polisi nchini Marekani wamemuua mtu mmoja ambaye kwa taarifa za awali inaonyesha alikuwa anagombelezea ugomvi wa wanawake wawili waliokuwa wanagombana nje ya eneo analoishi mmarekani huyo mweusi
Baada ya polisi kufika eneo la tukio na kuamua ugomvi huo inaonyesha walimchania jamaa shati lake ndipo akaondoka kuelekea kwenye gari yake na askari hao kumfuata kwa nyuma na kummiminia risasi nyingi mwilini
#Blacklivesmatter#
Polisi nchini Marekani wamemuua mtu mmoja ambaye kwa taarifa za awali inaonyesha alikuwa anagombelezea ugomvi wa wanawake wawili waliokuwa wanagombana nje ya eneo analoishi mmarekani huyo mweusi
Baada ya polisi kufika eneo la tukio na kuamua ugomvi huo inaonyesha walimchania jamaa shati lake ndipo akaondoka kuelekea kwenye gari yake na askari hao kumfuata kwa nyuma na kummiminia risasi nyingi mwilini
#Blacklivesmatter#