Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Wakuu,bora kuuliza kuliko kujifanya unajua.
Leo katika pitapita zangu nimekutana na mmarekani ambaye ameniacha kwenye mataa.
Nilisogea karibu na gari lake akiwa na mkewe wameketi jirani na gari. Sasa simu ndani ya gari iliita akataka afungue mlango akaichukue lakini mkewe akamwambia kuwa atumie rimoti na wireless headphone kupokea simu. Akasema kuwa alisahau ngoja afanye hivyo. Nikakuta amepokea kwa rimoti akaanza kuongea. Nikatamani nione hadi hatua ya mwisho. Kisha akatumia rimoti kumaliza maongezi. Nikabaki nashangaa,nimetoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango.
Sasa naomba kuuliza, je, simu kama hizi hapa Tanzania zipo?Bei zake zikoje?
Asanteni. Nawasilisha.
Leo katika pitapita zangu nimekutana na mmarekani ambaye ameniacha kwenye mataa.
Nilisogea karibu na gari lake akiwa na mkewe wameketi jirani na gari. Sasa simu ndani ya gari iliita akataka afungue mlango akaichukue lakini mkewe akamwambia kuwa atumie rimoti na wireless headphone kupokea simu. Akasema kuwa alisahau ngoja afanye hivyo. Nikakuta amepokea kwa rimoti akaanza kuongea. Nikatamani nione hadi hatua ya mwisho. Kisha akatumia rimoti kumaliza maongezi. Nikabaki nashangaa,nimetoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango.
Sasa naomba kuuliza, je, simu kama hizi hapa Tanzania zipo?Bei zake zikoje?
Asanteni. Nawasilisha.