Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,879
Ukweli hii ni safari ya pili rais anamwagiza IGP. Binafsi huo mlundikano umetengenezwa na jeshi la polisi kwa sababu zao kutokana na kuwabambikizia watu wengi kesi na kusababisha upelelezi kutokamilika hivyo kuwaachia polisi hao hao waumalize huo mlundikano ni vigumu sana.
Ushauri kwa Mh. Rais
Ni vema ukaunda tume huru itakayowajumuisha
Wananchi wanateseka sana magerezani
Ushauri kwa Mh. Rais
Ni vema ukaunda tume huru itakayowajumuisha
- Majaji
- Wanasheria
- Viongozi wa dini
Wananchi wanateseka sana magerezani