nimekaa nimefikiri ,nimegundua kua ccm madarakani hauwezi kutoka kwani nao wamegundua kuwa ni chama cha wanainchi kwa hiyo hawabweteki hata kidogo,nafurahi sn kuona ni wapembuzi wa mambo ,mfano hai igunga wameshinda kiulaini
Kama wewe ndio tegemeo lao basi kazi ipo!!!! Hata kwa kuingia tu hukujui? Any way karibunimekaa nimefikiri ,nimegundua kua ccm madarakani hauwezi kutoka kwani nao wamegundua kuwa ni chama cha wanainchi kwa hiyo hawabweteki hata kidogo,nafurahi sn kuona ni wapembuzi wa mambo ,mfano hai igunga wameshinda kiulaini