SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Una maana Rais wetu analindwa na majini ya Shekh Yahya, na sasa yanataka mlo wa damu ya binadamu? Watu wengine bana wanatuvunja mbavu kwani ni hadithi za kufikirika.
Mkuu siyo mimi niliyesema,muundaji wa hayo majini hayati Sheikh Yahya ndiye alilitangazia taifa kuwa amejitolea kuongeza ulinzi wa rais baada ya kuona wale vijana wa PSU wameshindwa kazi kwa kumuacha JK akipiga mieleka ya hapa na pale.