Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Unajua viongozi wa Africa wanakasumba ya kudhania sababu wewe ni kiongozi then unaweza kuamua chochote. Hii sio kwenye barabara tuu, waulize bank kuu kasheshe wanayo ipata kutoka kwa hawa viongozi shwain, pesa hakuna wanaorder tuu kwa balali print more money, Barabara foleni, wanaorder viongozi wanunuliwe choppa na barabara funga leni moja ya kwenda.
Tukiadopt tabia ya kusue serikali na kusnach some money from their poket all this mess will end.
Tukiadopt tabia ya kusue serikali na kusnach some money from their poket all this mess will end.