Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Wana JF
Kuna dada wa 'Kilokole' ananisumbua sana. Alianza kwa kuninunulia Biblia ndogo ya mfukoni na kunishawishi niache dhehebu langu la Kikatoliki. Yeye anasema ameoneshwa katika maono kuwa napaswa kubadilika kabla ya mwaka huu kuisha na Mungu amwemwahidi 'kupanda cheo na kupata faraja' iwapo nitamkubalia ombi lake.
Kama haitoshi, kila siku lazima anitumie meseji za neno la Mungu na nyimbo za injili.
Waungwana nishaurini, nifanyeje?
Kuna dada wa 'Kilokole' ananisumbua sana. Alianza kwa kuninunulia Biblia ndogo ya mfukoni na kunishawishi niache dhehebu langu la Kikatoliki. Yeye anasema ameoneshwa katika maono kuwa napaswa kubadilika kabla ya mwaka huu kuisha na Mungu amwemwahidi 'kupanda cheo na kupata faraja' iwapo nitamkubalia ombi lake.
Kama haitoshi, kila siku lazima anitumie meseji za neno la Mungu na nyimbo za injili.
Waungwana nishaurini, nifanyeje?