Kusema kweli tangu nimeanza kuishi katika jiji hili pendwa takriban miaka kumi na tano ilopita,sijaona foleni kubwa kama Jumatatu ya leo Novemba 29..kuanzia Posta,Kariakoo,Lugoda, Gerezani,hadi Kurasini.
Inafikia hatua hadi watembea kwa miguu wanakosa sehem ya kupita, hususan kipande cha kutoka gerezani hadi round about ya bendera tatu...kama umeingia mjini leo hebu tupe experience yako kwa foleni ya leo.
Inafikia hatua hadi watembea kwa miguu wanakosa sehem ya kupita, hususan kipande cha kutoka gerezani hadi round about ya bendera tatu...kama umeingia mjini leo hebu tupe experience yako kwa foleni ya leo.