Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,409
- 6,555
Alifanya nini?Ni kwamba DR Congo imegeuzwa maabara walitaka na tanzania tuwe km kongo shukrani kwa hayati magufuli
Alifanya nini?Ni kwamba DR Congo imegeuzwa maabara walitaka na tanzania tuwe km kongo shukrani kwa hayati magufuli
Mkuu umeongea point sana. Comment nzuri sana. Tatizo kubwa la muafrika ni matumizi mabaya ya nguvu. Badala kutumia nguvu kupambana na maadui( mabeberu) anatumia nguvu nyingi kupambana na mwafrika mwenzakeNi kwamba DR Congo imegeuzwa maabara walitaka na tanzania tuwe km kongo shukrani kwa hayati magufuli