Na habari za uhakika kutoka hospitali walikolazwa majeruhi ni kwamba mtoto mwingine amefariki sasa hivi. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
cjui kazi ya jeshi la polisi la tanzania ni nini, mwenye kujua anijuze
Huu mpango wote umefanyika ili kufanikisha safari ya Slaa, ndio njia pekee itakao wafanya wazungu wamchangie hela. Bila shaka amesha copy picha kutoka JF na kuzunguka nazo mfukoni.
Pia exaud mamuya akamatwe na kuhojiwa mana ana taarifa nyingi kuhusu hili tukio pamoja na zile za pm 7
Huu mpango wote umefanyika ili kufanikisha safari ya Slaa, ndio njia pekee itakao wafanya wazungu wamchangie hela. Bila shaka amesha copy picha kutoka JF na kuzunguka nazo mfukoni.
UZURI uwezi kuwabadilisha WAUAJI kuwa si WAUAJI.Watu wamekufa unaleta UMALAYA WAKO HAPA.Kwa hiki ulichoposti hapa naamini CCM ni wausika wakuu wa jambo hili.Endeleeni kuwatuma watu kulipua na kuua na hamtafanya uchunguzi wa maana kwa sababu MUNGU anawasuta wachunguzi katika nafsi zao wausika ni ninyi mnachunguza nini?.Tumefikia hapa Mtanzania unatumwa kuua Mtanzania mwenzio na unaua.OK,ILA JUENI HII mbegu Mnapanda itaota,itakuwa,itakomaa wakati wa MAVUNO tusikimbiane.Kama mnavyowatuma watu kuua hivyo hivyo Atatokea mtu atawaambia twendeni MSITUNI wataenda si kwakupenda ila MAVUNO ya hizi MBEGU ZENU YAVUNWE.KILA TENDO UFANYALO LEO NI MBEGU UJUE KESHO UTAVUNA.mbegu ya DAMU nyingi mshazipanda kwenye ardhi yetu tunasubiri mavuno.MNAPANDA DAMU MTAVUNA DAMU.Nawaonya kwa Jina LA MUNGU ALIYE HAI MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI DHAMBI HII MSIPOTUBU NA KUIACHA YATATOKEA MAUAJI TANZANIA AMBAYO HAYATAFANANISHWA NA CONGO,BURUNDI WALA RWANDA.(Mithali 12:14.Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake;Na mwanadamu atarudishiwa MATENDO YA MIKONO YAKE)Na NENO la MUNGU lazima litimie.Haya ndio yale maagizo ya kutoka kwa Josephine? Naona jana alimtuma kijana wake Ben akwambie uwasiliane nae
Huu mpango wote umefanyika ili kufanikisha safari ya Slaa, ndio njia pekee itakao wafanya wazungu wamchangie hela. Bila shaka amesha copy picha kutoka JF na kuzunguka nazo mfukoni.
Ongeza Lema na Mbowe nao wahojiwe wanaweza fanya janja kama ya yule Sheikh Farid wa Uamsho kwa kujiteka,na chadema nao wanaweza fanya kama hiyo janja ya nyani! Kuwahoji ni mhimu
Kama ni kweli kwamba CHADEMA wanaua raia kwa ajili ya kujijenga kisiasa na serikali imeshindwa kuwakamata wahusika, basi ni dhahiri kwamba nchi haina amiri jeshi mkuu mwenye uwezo. Na kwa hakika itabidi tutilie mashaka uwezo wa huyo amiri jeshi mkuu mwenye majeshi yote ya ulinzi na usalama halafu hana uwezo wa kuzuia mauaji yanayofanywa na CHADEMA ambao hawana hata mgambo tu.Huu mpango wote umefanyika ili kufanikisha safari ya Slaa, ndio njia pekee itakao wafanya wazungu wamchangie hela. Bila shaka amesha copy picha kutoka JF na kuzunguka nazo mfukoni.
hili bomu ilikuwa ni kutafuta huruma ya wananchi full stop
Looh ivo mara hii hamkuwataja waarabu kuwa walihusika ? ajabu eti waalabu hawamo mmmh ! imposibo...
Looh ivo mara hii hamkuwataja waarabu kuwa walihusika ? ajabu eti waalabu hawamo mmmh ! imposibo...
1. Mwigulu Nchemba
Kiongozi huyu wa CCM amekuwa akitoa kauli zenye utata hapa jijini Arusha pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ambazo moja kwa moja zinapelekea kuhisi kiongozi huyu anafamu moja kwa moja kilichojificha nyuma ya pazia kwenye urushaji huu wa bomu uliopelekea kuua watu na kujeruhi watu zaidi ya 70.
2. Mtela Mwampamba
Kada huyu wa CCM amekuwa akisema katika mikutano ya hadhara ya CCM pamoja na kuandika katika mitandao ya kijamii especially hapa Jamii Forum na Facebook ya kwamba anawafahamu wanaofanya mambo haya ya kigaidi na yeye amewahi kushiriki kufanya ugaidi huu kipindi alipokuwa mwanachama wa CHADEMA. Sasa ni vizuri akalisaidia jeshi la polisi kuonyesha alivyokuwa anafanya ugaidi huu alipokuwa CHADEMA.
3. Gasper Kishumbua
Huyu ni kiongozi wa CCM wilaya ya Arusha mjini ambaye kutokana na mashuhuda wa tukio la mlipuko wa bomu jana ni kwamba alikuwa upande wa bomu lilipotokea na baada ya mlipuko akaanza kupiga kelele na kusema pilisi wameamua kuua watu bila hatia.
Wana Arusha tunaliomba jeshi la polisi kuwahoji watu hawa na hakika watapata ukweli na sababu ya mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA na kupelekea mauaji ya binadamu wasiokuwa na hatia.
Mungu ibariki Tanzania.
1. Mwigulu Nchemba
Kiongozi huyu wa CCM amekuwa akitoa kauli zenye utata hapa jijini Arusha pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ambazo moja kwa moja zinapelekea kuhisi kiongozi huyu anafamu moja kwa moja kilichojificha nyuma ya pazia kwenye urushaji huu wa bomu uliopelekea kuua watu na kujeruhi watu zaidi ya 70.
2. Mtela Mwampamba
Kada huyu wa CCM amekuwa akisema katika mikutano ya hadhara ya CCM pamoja na kuandika katika mitandao ya kijamii especially hapa Jamii Forum na Facebook ya kwamba anawafahamu wanaofanya mambo haya ya kigaidi na yeye amewahi kushiriki kufanya ugaidi huu kipindi alipokuwa mwanachama wa CHADEMA. Sasa ni vizuri akalisaidia jeshi la polisi kuonyesha alivyokuwa anafanya ugaidi huu alipokuwa CHADEMA.
3. Gasper Kishumbua
Huyu ni kiongozi wa CCM wilaya ya Arusha mjini ambaye kutokana na mashuhuda wa tukio la mlipuko wa bomu jana ni kwamba alikuwa upande wa bomu lilipotokea na baada ya mlipuko akaanza kupiga kelele na kusema pilisi wameamua kuua watu bila hatia.
Wana Arusha tunaliomba jeshi la polisi kuwahoji watu hawa na hakika watapata ukweli na sababu ya mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA na kupelekea mauaji ya binadamu wasiokuwa na hatia.
Mungu ibariki Tanzania.