Huo ndio ukweli. Tangu enzi na enzi magonjwa ndivyo yalivyo. Magonjwa yana seasons/misimu. Wakati wa mahindi kutoa mbelewele wenye pumbu na mizio/allergy nao upata shida. Ndio maisha TUSITISHANE ndugu zangu.Mabadiliko ya hali ya hewa..unyevu umeongezeka..hivyo ueneaji wa bacteri na virus katika hewa ni mkubwa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambao hawana pumbu hawapati hiyo shida?Huo ndio ukweli. Tangu enzi na enzi magonjwa ndivyo yalivyo. Magonjwa yana seasons/misimu. Wakati wa mahindi kutoa mbelewele wenye pumbu na mizio/allergy nao upata shida. Ndio maisha TUSITISHANE ndugu zangu.