Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bongo noma yan hakuna ata TV station moja inayo weza kuonesha live ishu inayo endelea Arusha.
Lema ni janga la taifa.
Hhana busara hata kidogo, anapenda misifa kama mtoto wa shule za chekechea.
Nilijua tu ataongea pumba na kutafuta sifa.
Na inawezekana hata akawa anajua mengi na huo mlipuko kwa sababu kwa nini atumie hiyo nafasi kuanza kuongelea kukamatwa kwake?
Jaman mie najua msikit unaohusuka kwa jambo hili
UMEME??? Shame on you too!BAADA YA KUJA UISLAM NA UKRISTO -- SIKU HIZI HAKUNA : wapare, wamakua, wahaya, wasukuma nk. - - - NA VIPI UKIJA KUSIKIA KWAMBA CHANZO CHA MLIPUKO NI HITILAFU TU YA UMEME? ..... #MDINI - Ni yule anayeanza kuuzungumzia.... shame on You
Lema ni janga la taifa.
Hhana busara hata kidogo, anapenda misifa kama mtoto wa shule za chekechea.
Nilijua tu ataongea pumba na kutafuta sifa.
Na inawezekana hata akawa anajua mengi na huo mlipuko kwa sababu kwa nini atumie hiyo nafasi kuanza kuongelea kukamatwa kwake?
inna lilah wa inna illah rajiun. kama ni njama za m2 au kikundi na walaaniwe hakika makazi yao yawe jahnaum
Unajua Wasomali wapo wengi Arusha...Mtaa wao pale Bondeni...
Lema ni janga la taifa.
Hhana busara hata kidogo, anapenda misifa kama mtoto wa shule za chekechea.
Nilijua tu ataongea pumba na kutafuta sifa.
Na inawezekana hata akawa anajua mengi na huo mlipuko kwa sababu kwa nini atumie hiyo nafasi kuanza kuongelea kukamatwa kwake?