Mkuu wa mkoa wa Arusha anatarajiwa kuzungumza na kutoa tamko la serikali
Wamuandalie mic kabisa
Mkuu wa mkoa wa Arusha anatarajiwa kuzungumza na kutoa tamko la serikali
Tufafanulie ndugu, tafadhali sana. Je mlipuko wa nini? Umesabishwa na nini? Wakati gani (wakati wa misa, kabla au baada)? Nani anahusika? Hizi habari nyigine........
KWA USHAURI TU: ukitaka kuandika habari, andika ikamilike. Tambua ya kwamba wanaotumia Jamii Forums ni watu wenye akili timamu, na wengine wananyadhifa kubwa sana serikalini. Hivyo kuandika sawia itawapa mwanga.
...MTOTO wa kikristu aliyeshawishiwa na MTOTO wa kiislam alikojolea kurani - Hukusikia hotuba ya mwisho wa mwezi wa pili wewe.Waislamu walichokozwa lini? Walichokozwaje? Jamani, yamesemwa na Rais haya kweli?
Walianza kukashifu na kutukana wenzao wakaona kimya hawajibiwi. Walipoona wanalalamikiwa na kudhibitiwa wakaona haitoshi sasa wameanza kupiga mabomu. Hao ndio alqaeda na al shaabab, wamekaribishwa wameingia sasa tutakiona.Haya ndio watawala wetu wanayataka. Sijajua nani amehusika, ila ukweli ni kuwa uwezi tenganisha hili na choko choko za udini na ujinga unaendelea kwenye nchi yetu. Haya ndio matunda yake, sijui ifikie kiwango gani mpaka hawa watawala wetu dhaifu waone kuwa watanzania tunakwenda kuuana kuku muda si mrefu. Sasa tumefikia kiwango cha Nigeria, Iraq, Syria, n.k. Hakika sasa Tanzania sio kisiwa cha amani tena.
BAADA YA KUJA UISLAM NA UKRISTO -- SIKU HIZI HAKUNA : wapare, wamakua, wahaya, wasukuma nk. - - - NA VIPI UKIJA KUSIKIA KWAMBA CHANZO CHA MLIPUKO NI HITILAFU TU YA UMEME? ..... #MDINI - Ni yule anayeanza kuuzungumzia.... shame on YouWatanzania wenzangu, Kwanza niwape pole kwa yaliyotokea Arusha asubuhi hii, hili ni tukio la kusikitisha na linalostahili kulaaniwa na kila mpenda haki na muumini wa uhai duniani bila kujali dini yake. Kwa haraka haraka napeleka lawama zangu kwa waislamu wenye msimamo mkali. Lakini naomba nieleweke na mnielewe, hili ni kundi dogo tu la waislam na si sawa wala haki kuwalaumu waislamu wote hata itakapobainika ni waislamu wenye msimamo mkali ndio wamehusika. Watanzania wenzangu tukumbuke kwamba kabla ya kuwa waislamu, kabla ya kuwa wakristu, tulikuwa wapare, wamakua, wahaya, wasukuma nk. Dini zimekuja juzi tu na si sawa zitutenganishe na kutugombanisha. Sasa kuliko kipindi chochote tunahitaji umoja kama watanzania, tusianze kunyoosheana vidole kwa misingi ya dini, tuelewe kuwa hili ni kundi dogo la watu wasiowakilisha watu wote wa dini hiyo. Mwisho ni jukumu la serekali kutuhakikishia usalama wetu kama Watanzania. Ni wazi kuwa vyombo vyetu vya usalama havina uwezo wa kuchunguza na kupata ukweli kuhusu shambulio hili, tunataka vyombo vya nje vyenye uweledi katika uchunguzi wa matukio ya kigaidi kama haya vihusishwe tujue ukweli kuhusu tukio hili. Namaliza na rai yangu, NOW MORE THAN EVER WE NEED TO STAND TOGETHER AS TANZANIANS!
Sijui Taifa linaelekea wapi na Watanzania tumeamua kupoteza ile hali ya Amani na Utulivu.
Why ni Makanisani tu hasa Kanisa Katoliki??
...Hivi keshatoa ushahidi wa kinara na mwanzilishi wa udini Tanzania bungeni?Lema anaongea