MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Kulitikea mlipuko mkubwa kwenye mitambo ya umeme ubungo ambao umepelekea umeme kukatika maeneo mbalimbali ya nchi, sijui kunajitihada gani zinafanyika ili kurudisha umeme huu maana mlipuko huo ulitoa moto na moshi mwingi mno EE MUNGU TUEPUSHE NA HILI GIZA.