Mlipa Kodi wa TRA na vikwazo akutananavyo mlipwa mshahara wa TRA

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana Jamvi,

Leo ni siku ambayo nimeiona niandike baada ya kunyanyaswa na wafanyakazi wa TRA Samora, ilikuwa hivi:
Mnamo mwaka 2005 nilifunga biashara baada jengo nililkuwa nikipanga kutaka kuvunjwa na NHC kupisha ujenzi, nilipeleka viambatanisho vya oroginal vya barua ya NHC nilioandikiwa kuvunja mkataba. walipokea vizuri, ikawekwa kwenye file langu, baada ya hapo nikaishi mitaani. Mwaka 2016 nilienda TRA kufufua biashara nikaambiwa niandike barua ya maombi ya kufungua biashara, nikafanya hivyo. mwaka 2016-2017 mwaka mzima nilikuwa napigwa tarehe, mnamo mwezi wa september 2017 nilikadiliwa na kuanza kulipa, niliambiwa nikakate lessen , mtiti ukaja kwenye leseni kuwa ni lazima nipate tax clearence, kurudi pale nikaambiwa nikadiliwe upya kwa sababu file lako na document hazionekani, na tin yako ni ya mwaka 2003, hivyo unaonekana una deni la nyuma,nilipouliziavipi file langu limepoteaje? sikujibiwa zaidi ya kuambiwa wamefungua file jipya, nami nashindwa kulipa kodi kwa sababu ya vikwazo, nashindwa kuchukua leseni yangu kwani wanataka tax clearence. nina ushahidi wa barua tatu za kuwaomba kufungua biashara na mbili za kudai tax crealence ambazo zote zipo kwenye file langu jipya waliounda wao wakaniambia nianze kulipa kodi. kwa sasa nipo kwenye mkanganyiko nifanye nini.
 
Hilo la kupotea kizembe faili kwenye ofisi za umma ni jambo la kawaida na huwa linakera na kuumiza hasa pale unapotaka kupata huduma au maslahi ambayo yanategemea taarifa, vielelezo na kumbukumbu zilizopo kwenye hilo faili, utashangaa hata faili binafsi la mtumishi linapotea kizembe alafu mtu anajibu kirahisi.
 
Kuna mtu anataka rushwa hapo?
Ndio tatizo la mtu anayeishi kwa mshahara wa serikali hajui ugumu wa kufanya biashara nchi hii
 
Hawa watoza ushuru ndivyo walivyo. Hapo inatafutwa rushwa. Hukubakiwa na copy ya barua zako?

Mwone Regional Manager wao. Usikubali kulipa kodi ambayo hustahili kulipa.
 
Tatizo letu watanzania ni uoga na kukata tamaa mapema, lazima tukubali hawa watumishi wa serikali nao ni binadamu wenye tabia zitokanazo na malezi tofauti, unaweza kumkuta siku hiyo kachoka au ana stress zake au kwa makusudi akaamua kukutenda vibaya na wewe ukabaki tu na manung'uniko moyoni....cha msingi kama una viambatanisho vyako fika ofisini omba kuonana na manager, tena mtu asitake kujua unataka kumwambia nini sababu hayamuhusu, ingia ndani mpe facts zako, tena kwa uzoefu wangu hawa ma manager hua ni watu waelewa na wanyenyekevu sana hata kama wewe ndio uko wrong atakuelekeza vizuri au atakupa mtu akuelekeze.
 
Hilo la kupotea kizembe faili kwenye ofisi za umma ni jambo la kawaida na huwa linakera na kuumiza hasa pale unapotaka kupata huduma au maslahi ambayo yanategemea taarifa, vielelezo na kumbukumbu zilizopo kwenye hilo faili, utashangaa hata faili binafsi la mtumishi linapotea kizembe alafu mtu anajibu kirahisi.
La mke wng walilificha kisa alikua ana dai malimbikizo so zile barua ambazo zilikua zinawekwa kwenye fail lake akienda utumishi wanasema halionekani,asee nilichowafanya wale kenge mpk leo wanamwogopa mke wng utadhan ni afisa muajiri,wapuuuz sana
 
Tatizo letu watanzania ni uoga na kukata tamaa mapema, lazima tukubali hawa watumishi wa serikali nao ni binadamu wenye tabia zitokanazo na malezi tofauti, unaweza kumkuta siku hiyo kachoka au ana stress zake au kwa makusudi akaamua kukutenda vibaya na wewe ukabaki tu na manung'uniko moyoni....cha msingi kama una viambatanisho vyako fika ofisini omba kuonana na manager, tena mtu asitake kujua unataka kumwambia nini sababu hayamuhusu, ingia ndani mpe facts zako, tena kwa uzoefu wangu hawa ma manager hua ni watu waelewa na wanyenyekevu sana hata kama wewe ndio uko wrong atakuelekeza vizuri au atakupa mtu akuelekeze.
Kwa hyo stress zako ndo uzilete kwenye ofisi ya umma? Ni kujiona tu miungu watu
 
Tatizo letu watanzania ni uoga na kukata tamaa mapema, lazima tukubali hawa watumishi wa serikali nao ni binadamu wenye tabia zitokanazo na malezi tofauti, unaweza kumkuta siku hiyo kachoka au ana stress zake au kwa makusudi akaamua kukutenda vibaya na wewe ukabaki tu na manung'uniko moyoni....cha msingi kama una viambatanisho vyako fika ofisini omba kuonana na manager, tena mtu asitake kujua unataka kumwambia nini sababu hayamuhusu, ingia ndani mpe facts zako, tena kwa uzoefu wangu hawa ma manager hua ni watu waelewa na wanyenyekevu sana hata kama wewe ndio uko wrong atakuelekeza vizuri au atakupa mtu akuelekeze.
Tatizo kubwa lililopo pale samora stand ya basi vijana wanatupiana mpira, aliyeniruhusu kulipia kwa kutumia mafaili ya nyuma ndiye inaonekana kapoteza, sasa yule anayetakiwa kunipa tax clrearence anataka fail la zamani huyu aliyepoteza kashafungua mpya
 
Kwa hyo stress zako ndo uzilete kwenye ofisi ya umma? Ni kujiona tu miungu watu
Mkuu hiaitakiwi kua hivyo, lakini mtu kua mtumishi wa umma haimaanishi yuko exempted na shuruba zingine zinazotukuta wanadamu, kwa hiyo kua na stress ni kitu cha kawaida, ukizingatia nchi zetu hizi za dunia ya tatu kumuomba boss wako ruhusa ya kutokumu attend mteja kisa uko stressed si jambo la kawaida, tena wakati mwingine unakuta boss huyo huyo ndio kasababisha hizo stress, so cha msingi ni wewe kuangalia mazingira yatakayorahisisha mambo yako kufanikiwa ikiwa ni pamoja na kuwaona ma emediate incharge kama hujaridhika.
 
Tatizo kubwa lililopo pale samora stand ya basi vijana wanatupiana mpira, aliyeniruhusu kulipia kwa kutumia mafaili ya nyuma ndiye inaonekana kapoteza, sasa yule anayetakiwa kunipa tax clrearence anataka fail la zamani huyu aliyepoteza kashafungua mpya
Mkuu fail kupotea sio kosa lako kwa sababu wao ndio custodian wa hayo ma faili, cha msingi wewe kama una copy ya documents zako zote muone manager u present case yako, ila kama hauna hapo watakusumbua tena ukizingatia sheria yao inakutaka utunze document kwa muda wa miaka 5 baada ya hapo ndio unaruhusiwa kuzichana.
 
Tatizo kubwa lililopo pale samora stand ya basi vijana wanatupiana mpira, aliyeniruhusu kulipia kwa kutumia mafaili ya nyuma ndiye inaonekana kapoteza, sasa yule anayetakiwa kunipa tax clrearence anataka fail la zamani huyu aliyepoteza kashafungua mpya
Mkuu kilichotakiwa kufanyika hapo wangekufungulia dummy/temporary file, kisha watoe copy za documents zako waziweke kwenye hilo file na maelezo kwanini wamekufungulia hilo file walipeleke kwa In charge wao ana approve kazi kwisha so simple!wanaendelea na process ya kukupa tax clearance.
Usisahau kuwapa hela ya kiwi ili kazi ikamilike haraka.
 
Mkuu kilichotakiwa kufanyika hapo wangekufungulia dummy/temporary file, kisha watoe copy za documents zako waziweke kwenye hilo file na maelezo kwanini wamekufungulia hilo file walipeleke kwa In charge wao ana approve kazi kwisha so simple!wanaendelea na process ya kukupa tax clearance.
Usisahau kuwapa hela ya kiwi ili kazi ikamilike haraka.
Hela ya kiwi naogopa taku-kunguru.
 
Wana Jamvi,

Leo ni siku ambayo nimeiona niandike baada ya kunyanyaswa na wafanyakazi wa TRA Samora, ilikuwa hivi:
Mnamo mwaka 2005 nilifunga biashara baada jengo nililkuwa nikipanga kutaka kuvunjwa na NHC kupisha ujenzi, nilipeleka viambatanisho vya oroginal vya barua ya NHC nilioandikiwa kuvunja mkataba. walipokea vizuri, ikawekwa kwenye file langu, baada ya hapo nikaishi mitaani. Mwaka 2016 nilienda TRA kufufua biashara nikaambiwa niandike barua ya maombi ya kufungua biashara, nikafanya hivyo. mwaka 2016-2017 mwaka mzima nilikuwa napigwa tarehe, mnamo mwezi wa september 2017 nilikadiliwa na kuanza kulipa, niliambiwa nikakate lessen , mtiti ukaja kwenye leseni kuwa ni lazima nipate tax clearence, kurudi pale nikaambiwa nikadiliwe upya kwa sababu file lako na document hazionekani, na tin yako ni ya mwaka 2003, hivyo unaonekana una deni la nyuma,nilipouliziavipi file langu limepoteaje? sikujibiwa zaidi ya kuambiwa wamefungua file jipya, nami nashindwa kulipa kodi kwa sababu ya vikwazo, nashindwa kuchukua leseni yangu kwani wanataka tax clearence. nina ushahidi wa barua tatu za kuwaomba kufungua biashara na mbili za kudai tax crealence ambazo zote zipo kwenye file langu jipya waliounda wao wakaniambia nianze kulipa kodi. kwa sasa nipo kwenye mkanganyiko nifanye nini.
Ushauri Wangu. Jitahidi kuwajua kwa majina hao maofisa wanaokuzingua kisha walalamikie kwa kufuata taratibu zote hadi kufika Ikulu ikiwezekana ili washughulikiwe. Usilalamikie JF peke yake. Nakuhakikishie, kwa serikali hii, hawatoki!
 
Hawa TRA wanakatisha sana tamaa watu kulipa kodi, kwa usumbufu wao hadi wamesababisha watu kufungua biashara usiku tu

Hapa mtaani kumetokea kizaazaa TRA wamefunga fremu za wateja huu mwezi wa 6, wafanya biashara wamesusa wamefungua biashara sehemu nyingine kwa namna nyingine, sasa mwenye jengo anataka fremu zake apangishe wangine kwa kuwa hawa kodi zao zilishakwisha TRA hawataki kuzifungua na wanamtishia akivunja makufuli yao atashtakiwa,
 
Pole sana...

Ndiyo maana mimi kila karatasi naitunza either iwe original...

Au kama original wanabaki nazo natoa copy nabaki na copy kwenye file langu binafsi...

Mara nyingi kuna uzembe mkubwa sana hufanywa, ila utapewa majibu rahisi rahisi...


Cc: mahondaw
 
Mkuu kilichotakiwa kufanyika hapo wangekufungulia dummy/temporary file, kisha watoe copy za documents zako waziweke kwenye hilo file na maelezo kwanini wamekufungulia hilo file walipeleke kwa In charge wao ana approve kazi kwisha so simple!wanaendelea na process ya kukupa tax clearance.
Usisahau kuwapa hela ya kiwi ili kazi ikamilike haraka.

Umesema vema. Kuna ofisi moja ya umma wamepoteza na kufungua file langu mara nne ndani ya miezi miwili so kikubwa ukiwa na copies inakuwa rahisi...ni kweli kuna uzembe ila pia ofisi nyingi za umma zina mazingira magumu kwa watendaji.
 
Mm nilifunga tin no ,,nikaambiwa andika barua ipeleke kwa bos wao ikagingwe muhur nikafanya hivyo,, nikamuliza hakuna kingine cha kunifanya nirudi tena akasema hapana nikamwambia mm nasafir ndio mana nauliza hiv ,, akasema nenda tu hakuna ,,,nimekaa kama wiki 2 napigiwa simu eti unahitajika tra urudishe tin nikamwmabia niliyauliza yote niliambatanisha tin yangu nikaambiw aniondoke sasa nani mwenye kosa hapo???

Hwa watu n wababaifu sana
 
Wana Jamvi,

Leo ni siku ambayo nimeiona niandike baada ya kunyanyaswa na wafanyakazi wa TRA Samora, ilikuwa hivi:
Mnamo mwaka 2005 nilifunga biashara baada jengo nililkuwa nikipanga kutaka kuvunjwa na NHC kupisha ujenzi, nilipeleka viambatanisho vya oroginal vya barua ya NHC nilioandikiwa kuvunja mkataba. walipokea vizuri, ikawekwa kwenye file langu, baada ya hapo nikaishi mitaani. Mwaka 2016 nilienda TRA kufufua biashara nikaambiwa niandike barua ya maombi ya kufungua biashara, nikafanya hivyo. mwaka 2016-2017 mwaka mzima nilikuwa napigwa tarehe, mnamo mwezi wa september 2017 nilikadiliwa na kuanza kulipa, niliambiwa nikakate lessen , mtiti ukaja kwenye leseni kuwa ni lazima nipate tax clearence, kurudi pale nikaambiwa nikadiliwe upya kwa sababu file lako na document hazionekani, na tin yako ni ya mwaka 2003, hivyo unaonekana una deni la nyuma,nilipouliziavipi file langu limepoteaje? sikujibiwa zaidi ya kuambiwa wamefungua file jipya, nami nashindwa kulipa kodi kwa sababu ya vikwazo, nashindwa kuchukua leseni yangu kwani wanataka tax clearence. nina ushahidi wa barua tatu za kuwaomba kufungua biashara na mbili za kudai tax crealence ambazo zote zipo kwenye file langu jipya waliounda wao wakaniambia nianze kulipa kodi. kwa sasa nipo kwenye mkanganyiko nifanye nini.
Onana na Tax Consultant (mtaalam wa kodi).Pia jifunze kuweka kumbukumbu zako za biashara.
 
Back
Top Bottom