ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wanajf kwa wale mliowahi kusumbuliwa na amiba na sasa mmepona njooni hapa mnishauri kitu,maana hawa viumbe wananisumbua sana.Nataka kujua mliponaje maana mimi nimewatibu sana.Mara ninaambiwa bado kuna mayai yao ninapewa dawa lakini wapi,nyie mliponaje?Fungukeni mnisaidie!!!