Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kwa wale wasiofahamu mapenzi ya upande mmoja ni ile hali unampenda mtu alafu yeye haoneshi kukupenda hivyo unajikuta unalazimika unatumia nguvu kubwa kumuonesha unampenda
Na kuna wakati mtu unakosa majibu hapa unabaki kujiuliza hapa ninapedwa au sipedwi kwa maana mhusika kuna kipindi unamuona yupo vizuli kuna kipindi humuelewi hivyo unashidwa kufanya maamuzi ???
Mimi upande niliwahi pitia hali hiii ila nilichokifanya niliamua kutafuta mwanamke mwingine kimya kimya wa kupooza kiroho changu hivyo mwisho wa siku penzi lilikufa kimya kimya mpka miezi tatu ilivyopita ndo akastukaa mbona siku hizi uko kimya sana una tatizo gani
Na kuna wakati mtu unakosa majibu hapa unabaki kujiuliza hapa ninapedwa au sipedwi kwa maana mhusika kuna kipindi unamuona yupo vizuli kuna kipindi humuelewi hivyo unashidwa kufanya maamuzi ???
Mimi upande niliwahi pitia hali hiii ila nilichokifanya niliamua kutafuta mwanamke mwingine kimya kimya wa kupooza kiroho changu hivyo mwisho wa siku penzi lilikufa kimya kimya mpka miezi tatu ilivyopita ndo akastukaa mbona siku hizi uko kimya sana una tatizo gani