ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Mimi ni mtanzania, ninayesomea hapa India kwa ufadhili wa ICCR!
SIFICHI huu ufadhili ni mzuri. Tatizo chuo nilichopo hapa na hasa idra niliyopo haina walimu kabisa kiasi kwamba wanafunzi waliomaliza masters wamepewa mikataba ya muda ili watufundishe!
Walimu wanakosea mno kiasi kwamba tumeshaathiriwa na sisi hasa kwenye mitihani!!!Ukikata rufaa na kueleza kuwa ulichojibu ndicho ulichofundishwa unaambiwa, hata kama ni hivyo kwa nini na wewe ukubali kuandika uongo?? Ubaguzi haukuwepo ila umeanza! Kama una shida na mwalimu hata kama umetangulia akija mwanafunzi wa Kihindi inabidi asikilizwe yeye halafu ufuate wewe!!
Wadau mliopitia hali hizi njooni mnipe ushauri maana ninafikiria kusitisha ufadhili nirudi Tz!!!
SIFICHI huu ufadhili ni mzuri. Tatizo chuo nilichopo hapa na hasa idra niliyopo haina walimu kabisa kiasi kwamba wanafunzi waliomaliza masters wamepewa mikataba ya muda ili watufundishe!
Walimu wanakosea mno kiasi kwamba tumeshaathiriwa na sisi hasa kwenye mitihani!!!Ukikata rufaa na kueleza kuwa ulichojibu ndicho ulichofundishwa unaambiwa, hata kama ni hivyo kwa nini na wewe ukubali kuandika uongo?? Ubaguzi haukuwepo ila umeanza! Kama una shida na mwalimu hata kama umetangulia akija mwanafunzi wa Kihindi inabidi asikilizwe yeye halafu ufuate wewe!!
Wadau mliopitia hali hizi njooni mnipe ushauri maana ninafikiria kusitisha ufadhili nirudi Tz!!!