chimei may
Member
- Feb 14, 2022
- 81
- 92
hahahaaaaaaaa jinga ww
Huu Uzi nimecheka sana ,ila hapa kwako nimecheka zaidiKuna jamaa nilikuwa namuonea sana ndio alikuwa fala wangu.
Siku hiyo akaamua kunitest hahahaha.
Maana nilikuwa maneno mengi mikwara kibao huku mweupe kabisa!!
Jamaa aliniotea roba moja halafu madenti wengine wakawa wanashangilia kwamba asiniachie hadi nikojoe!
Kiukweli siku hiyo nilimuona ziraili kbs..
Ilibidi nikojoe tuu maana sio kabali ile.
Hata angetaka ninye ningekunya!!
Hapo heshima ikawepo..
Akaletwa chalii mwingine tena alikuwa na kaumbo kadogo halafu mi bonge la mtu.
Nikaanza bullying kama kawaida.
Yule dogo akatonywa na wambea kwamba mi mweupe mikwara tuu..
Dogo akaniamulia siku hiyo akanishika mapumbuu acha maneno kabisaaa!!
Yaani kumpiga nilishindwa nikabaki nimetulia tuu.mkono mmoja kanibana mapumbuu mwingine ananipiga ngumi na makofi!!
Kalikuwa kafupi yaani kunipiga kofi hadi karuke juu km masai ndo kanipate.hahahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani....Mimi nilkuwa sipendi ugomvi,ila nilikuwa nakodisha vifaa vya ugomvi kwa wenzangu kama mabuti nk.
Ila kilichonikuta kwa dem mmoja kibonge baada ya kupigwa na dogo niliye mkodishia mabuti....
khaaah.Yaaani stories za humu mimi kiukweli kabisa mapambano yote ya primary sijawahi kushinda , kila pambano nilikua nadundwa sababu nilikua chembamba afu nilikua karefuu so ilikua rahisi kunikata mtama nikaanguka mzima mzima
Unatakiwa uwachape kwa nyamaIlikua darasa la 4 nimehamia kwenye shule mpya baada ya miezi kadhaa kuna binti tukapishana kauli class basi akaniambia atanikomesha,nkashangaa yani huyu demu aniletee dharau mm kidume ,sasa ngoma ikawa kesho yake tumetoka nje ya shule bhana sikuamini kumbe yule demu wapo wawili ni mapacha wanafanana kila kitu aisee si wakanifata tulizichapa walinichangia kiukweli walinipigakumbe kwao wana ma bro wanawafundisha ngumi.
Heshima ikawepo mpaka tunamaliza la 7 wao ndo ma best zangu tunakaa dawati moja even mpaka leo nimemaliza chuo they are my best friends sana tunapendana
Huyo hery Barton namfahamu anavyoonekana tuu sio bondia nzuriKuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Hery barton mjuaji sana nakumbuka alizichapa na mchizi mmoja anaitwa Daniel Msuya! Sikuhio mapema sana kabla ya assembly saa 12 asubuhi.
Aisee zile ngumi zilikuwa level za kimataifa yani! Hamna kushikana hapo ni nako 2 nako yani ikipenya unaskia shavu limeitika fyo.toooh. Pale ndio tulipata taste ya kina Tyson kabisa huku hery barton akila nakoz za kwenda maana Daniel alikua na utulivu sana kwenye kuzipachika.
Nachukuwa nafasi hii kumtangaza Financial services ndio bondia aliyepoteza mapambano yote hakuwai kushinda pambano hata moja Hadi alipostafuYaaani stories za humu mimi kiukweli kabisa mapambano yote ya primary sijawahi kushinda , kila pambano nilikua nadundwa sababu nilikua chembamba afu nilikua karefuu so ilikua rahisi kunikata mtama nikaanguka mzima mzima
Mkuu 😂😂😂 waliokua wananipiga nikiwacheki sahivi ukubwani natamani turudie mapambano yote niwadunde , maana naona kabisa hawana nguvu sijui ilikuaje wakanipiga aisee😂😂Nachukuwa nafasi hii kumtangaza Financial services ndio bondia aliyepoteza mapambano yote hakuwai kushinda pambano hata moja Hadi alipostafu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 zile ngumi zingekuwa televised jamaa wangekula medali kabisa. Ngumi za kiwango cha lami kabisa za kisomiHuyo hery Barton namfahamu anavyoonekana tuu sio bondia nzuri
Ilikua darasa la 4 nimehamia kwenye shule mpya baada ya miezi kadhaa kuna binti tukapishana kauli class basi akaniambia atanikomesha,nkashangaa yani huyu demu aniletee dharau mm kidume ,sasa ngoma ikawa kesho yake tumetoka nje ya shule bhana sikuamini kumbe yule demu wapo wawili ni mapacha wanafanana kila kitu aisee si wakanifata tulizichapa walinichangia kiukweli walinipigakumbe kwao wana ma bro wanawafundisha ngumi.
Heshima ikawepo mpaka tunamaliza la 7 wao ndo ma best zangu tunakaa dawati moja even mpaka leo nimemaliza chuo they are my best friends sana tunapendana
Alikuwa anaitwa Zephania....nilikosea sio Zakaria.Shule ya Msingi nilimuotea Jamaa mmoja alikuwa anaitwa Zakaria.
Jamaa alikuwa anatoka kama kilomita kumi na kitu hivi kuja shule..Jamaa alikuwa mweupe kinoma mpaka tukawa tunamuita "Nyeupee".
Siku hiyo tulizenguana uwanjani wakati wa mapumziko nikamuwahi ngumi kadhaa kabla hajanirudishia Kaka Mkuu akatuwahi kutuamua.
Basi Nyeupee alipata hasira, akawa analia mishipa imemtoka na vile alivyo mweupe...kisa aliumia sana mimi kumuotea alafu yeye akazuiliwa kulipiza kisasi.
Ni kama Kaka Mkuu alikuwa upande wangu hakutaka nipigane, na alikuwa bonge la Mtu alichimba biti moja tu"nione Mtu anapigana tena"...hiyo ni mwanzo wa 1990's.
Sijui hata huyu Jamaa yuko wapi na alikuwa Mzuri sana kwa Hisabati.
Huenda ila mpaka ku connect dots sidhani kama ni rahisi...labda kama nikitaja na shule.Inawezekana mdau yupo humu