Ngusa PK
New Member
- Nov 9, 2013
- 1
- 3
Habari, wana jukwaaEs.
Naamini JF imekuwa nyenzo muhimu kwa kupashana habari na kusaidiana mawazo kwa takribani miaka 14 sasa.
Uzi huu napenda uwape nafasi basi wale waliowahi kuomba ushauri ama wao wenyewe au ndugu zao kozi nzuri zenye mkwanja wakutosha.
Ni vyema mkija kushukuru na kututia moyo na sisi tunaohitaji kuendelea na masomo.
Natanguliza shukrani.
Naamini JF imekuwa nyenzo muhimu kwa kupashana habari na kusaidiana mawazo kwa takribani miaka 14 sasa.
Uzi huu napenda uwape nafasi basi wale waliowahi kuomba ushauri ama wao wenyewe au ndugu zao kozi nzuri zenye mkwanja wakutosha.
Ni vyema mkija kushukuru na kututia moyo na sisi tunaohitaji kuendelea na masomo.
Natanguliza shukrani.