Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,446
- 16,301
Naombeni ushauri wa namna nzuri ya kuandika CV ya kuomba kazi kwenye hayo mashirika tajwa hapo juu hasa hasa UN.
Namna ya kuapply mara nyingi wanakuambia utume CV yako kwenye email. Sasa kimbembe ni kujua muundo wa hiyo CV unatakiwa uweje ili angalau kidogo wakupe attention.
Najua CV ya kutuma kwa hawa mabwana haiwi kama zile za kwetu ambazo mwishoni unaweka referee watatu. Hivyo kwa ambaye anajua naombeni msaada wa format yake ikiwezekana kama nitapata sample nitashukuru sana.
Cc: Nyani Ngabu Sky Eclat Zitto
Manners Maketh Man
Namna ya kuapply mara nyingi wanakuambia utume CV yako kwenye email. Sasa kimbembe ni kujua muundo wa hiyo CV unatakiwa uweje ili angalau kidogo wakupe attention.
Najua CV ya kutuma kwa hawa mabwana haiwi kama zile za kwetu ambazo mwishoni unaweka referee watatu. Hivyo kwa ambaye anajua naombeni msaada wa format yake ikiwezekana kama nitapata sample nitashukuru sana.
Cc: Nyani Ngabu Sky Eclat Zitto
Manners Maketh Man