Ligaba
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,045
- 2,821
Habari za Nyerere day.
After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.
Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.
After six years of being in marriage naona kama ibilisi anakaribia kukata panga. I have two kids kwa huyu bidada but I see the end of road. Kila wakati nikiwaangalia hivi vitoto na wanapotaka kuelekea naona maji yanajaa katika macho yangu, wananipenda na nawapenda hasa lakini hatupendani na mama yao.
Nawaza sana niumie ili wabaki na furaha au niitafute furaha wao waumie? Mliopitia changamoto za divorcing hebu saidieni picha ya maisha after marriage.