Mliotuma CV Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kazi ya ushuru, mmeshaitwa?

Dec 20, 2016
98
109
Imepita wiki sasa baada ya Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kufunga pazia la kupokea maombi ya kazi ya ukusanyaji ushuru je, kuna mtu alishaitwa au connection ni muhimu pia.
 
Imepita wiki sasa baada ya Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kufunga pazia la kupokea maombi ya kazi ya ukusanyaji ushuru je, kuna mtu alishaitwa au connection ni muhimu pia.
Kama ni lile tangazo la kukuhitaji utume kupitia email ya gmail na unalipia fomu ujue ni wahuni. Serikali kuu au ya mitaa kama halmashauri kutumia gmail nadra sana. Na kama ndiyo hilo ni tangazo la muda mrefu sana toka mwaka jana mwishoni ila wanajifanya ku update tarehe tu
 
Bahati mbaya..Sasa huyo mwajiri naye anatafuta Kazi..kashafutwa Kazi. Plus ofisi nayo imefungiwa..
 
Back
Top Bottom