Kama mnavyojua ndoa nyingi siku hizi zimekuwa ndoano. Kuna watu wengi ambao wanatamani watoke lakini pengine wanaogopa mambo mbalimbali kama jamii itawaonaje, maisha ya watoto, pengine mmoja wao ni tegemezi n.k.
Sasa wale ambao mmepata nguvu na uwezo wa kusema potelea mbali liwalo na liwe na mkaamua kuanua jamvi, tunaomba uzofu wenu.
1. Ilikuaje ukachukua uamuzi huu mgumu. Ulipata feelings gani na ulio overcome vipi uoga.
2. Maisha baada ya talaka, unajutia uamuzi au unaona uamuzi wako ulikuwa ni sahihi.
3. Uliwezaje ku move on.
4. Malezi ya watoto kama yapo yanaendeleaje je unahisi kuna kitu watoto wanakosa au wako ok.
5. Vipi inatokea una mmisi mwenzi wako na wakati mwingine mnajiiba kukumbushia game au ndo forever.
6. Ushauri wenu kwa wanandoa ambao wana migogoro na wanaishi bila raha na amani ni nini?
Tafadhali naombeni thread hii tuichukulie kwa uzito. Ili iweze kuelemisha. Kama hujawahi kuoa na kuachana ni vyema usichangie chochote, labda uulize au ku comment tu kwa wale watakaochangia.
Asante
Sasa wale ambao mmepata nguvu na uwezo wa kusema potelea mbali liwalo na liwe na mkaamua kuanua jamvi, tunaomba uzofu wenu.
1. Ilikuaje ukachukua uamuzi huu mgumu. Ulipata feelings gani na ulio overcome vipi uoga.
2. Maisha baada ya talaka, unajutia uamuzi au unaona uamuzi wako ulikuwa ni sahihi.
3. Uliwezaje ku move on.
4. Malezi ya watoto kama yapo yanaendeleaje je unahisi kuna kitu watoto wanakosa au wako ok.
5. Vipi inatokea una mmisi mwenzi wako na wakati mwingine mnajiiba kukumbushia game au ndo forever.
6. Ushauri wenu kwa wanandoa ambao wana migogoro na wanaishi bila raha na amani ni nini?
Tafadhali naombeni thread hii tuichukulie kwa uzito. Ili iweze kuelemisha. Kama hujawahi kuoa na kuachana ni vyema usichangie chochote, labda uulize au ku comment tu kwa wale watakaochangia.
Asante