Mliotahiriwa na ganzi eti ni kweli kwamba ile sindano ili kupata ganzi huwa ina athari baadaye?

Ni kweli ina madhara.

Unajua ile sindano hua wanalenga kende moja na kulitia ganzi sasa inatakiwa lilengwe la kulia wakikosea wakalipiga ganzi la kushoto baada ya muda nguvu za kiume huanza kusumbua.

Nakumegea siri, kipindi hichi ambacho hilo tatizo limeshamiri ni kwakua Tanzania ndiyo kwanza hiyo huduma ilikua inasambaa hivyo kizazi cha miaka ya 80 - 90 wengi wana shida ya nguvu za kiume.
 
Ni kweli ina madhara.

Unajua ile sindano hua wanalenga kende moja na kulitia ganzi sasa inatakiwa lilengwe la kulia wakikosea wakalipiga ganzi la kushoto baada ya muda nguvu za kiume huanza kusumbua.

Nakumegea siri, kipindi hichi ambacho hilo tatizo limeshamiri ni kwakua Tanzania ndiyo kwanza hiyo huduma ilikua inasambaa hivyo kizazi cha miaka ya 80 - 90 wengi wana shida ya nguvu za kiume.
Umeona eeh
 
Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!

Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!

Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!
Rudisha simu ya baba
 
Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!

Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!

Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!
Jf sasa mmejaza watoto wa 2000s
Cc: The Boss
 
Back
Top Bottom