- Thread starter
- #41
Mbona unapaniki wakati swali la kawaida tuIsije ikawa una mshipa halafu sisi tunahangaika huku.
Hauna busha mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unapaniki wakati swali la kawaida tuIsije ikawa una mshipa halafu sisi tunahangaika huku.
Hauna busha mkuu?
hawapi😂 ni pumbu bana,mimi nilichomwaIle ganzi haichomwi kwenye korodani mkuu..inachomwa ndani pale mkojo unapotokea
Siyo uthibitisho kwamba kaka zako hawajapata athari ya mshedede a.k.a mpingo. Yawezekana wake zao wanagongwa na wajanja halafu wanalea watoto wa hao wajanjaHakuna kwa maana kaka zangu wote walifanyiwa hospitali na wameoa wanawatoto