John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 545
- 608
Alienda Mara akaanza kuwafokea Wakurya,sasa ndiyo akaharibu kila kitu mpaka akasahau kumnadi Mgombea wa chama chake,
Wale wazee wamekasirika sana wanaenda kwenye mkutano alafu anawafokea.
Sijui kama watapata hata Mbunge Mmoja huko.
Wale wazee wamekasirika sana wanaenda kwenye mkutano alafu anawafokea.
Sijui kama watapata hata Mbunge Mmoja huko.