Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Wakuu kwa wale mliosoma magazeti ya leo kuna habari nilisikia kwenye redio wakati nawahi kanisani misa ya kwanza. Habari yenyewe ilikuwa ikimhusu Mkuu wa mkoa wa Darisalama, nilisikia kama anatukana watu kwamba ni wajinga na wapumbavu kwa kuhoji anakopata pesa ya kusaidia makundi mbali mbalia. Sasa sikuifuatailia kwa vile nilikuwa nawahi kanisani! Sasa kwa wae wa Darisalama kama mmeiona hiyo habari hebu tupeni kwa undani ilikuwaje?
Na hii kasumba ya kutukana watu sijui imeanzia wapi? Hawa jamaa kupata madaraka wanajiona miungu watu!! Mara tuambiwe marofa na wapumba.vv, mara tuitwe vilaza almradi kila mmoja anaropoka kadri alivyojaliwa!!
Na hii kasumba ya kutukana watu sijui imeanzia wapi? Hawa jamaa kupata madaraka wanajiona miungu watu!! Mara tuambiwe marofa na wapumba.vv, mara tuitwe vilaza almradi kila mmoja anaropoka kadri alivyojaliwa!!