Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wakati wa Utawala wa Mkono wa Chuma kuna Mtu alikuwa anajinadi kuwa Miradi aliyoianzisha hakuna wa kuikamilisha bila yeye na Wapambe wake wakawa wanasema Aongezeee Muhula wa Urais ili Aikamilishe na Wakaenda mbali zaidi kuwa ATAKE au ASITAKE lazima Aongezewe Muda. Kwa bahati mbaya sana Binadamu anapanga kumbe na MUNGU anapanga zaidi huyo Mtu Hatunae tena .
Na Wapambe wake pia Hawapo kwenye Nafasi zao badala yake tuna RAIS SAMIA Mama Mchapa kazi Mama wa Kimataifa Mama mwenye HOFU ya MUNGU MIRADI yote ambayo tuliambiwa bila yule Bwana haiwezi kukamilika inaendelea kukamilishwa na RAIS SAMIA na Wapambe wa yule Bwana Wapo KIMYA kama vile Sio wale waliotuambia ATAKE AU ASITAKE LAZIMA yule Bwana AONGEZEWE MUDA
Na Wapambe wake pia Hawapo kwenye Nafasi zao badala yake tuna RAIS SAMIA Mama Mchapa kazi Mama wa Kimataifa Mama mwenye HOFU ya MUNGU MIRADI yote ambayo tuliambiwa bila yule Bwana haiwezi kukamilika inaendelea kukamilishwa na RAIS SAMIA na Wapambe wa yule Bwana Wapo KIMYA kama vile Sio wale waliotuambia ATAKE AU ASITAKE LAZIMA yule Bwana AONGEZEWE MUDA