siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
mie mtoto wa mkulima,,,100% nategeme HESLB...vp SAUT wanazngua au??????
mie mtoto wa mkulima,,,100% nategeme HESLB...vp SAUT wanazngua au??????
nani kakuambia hata kama mtoto wa mkulima utegemee fees yote acha ujinga ile ni private university kk
safi Sana ila umemsahau na Mama yake aliye mzaa huyu Tahira!!
nani kakuambia hata kama mtoto wa mkulima utegemee fees yote acha ujinga ile ni private university kk
Pole mkuu wasikukatishe tamaa ya kuuliza hawa ndo wazazi wao mafisadi wanajivunia mali za wizi jaman siyo vzur mtu anauliza kitu kzur unamjibu ovyo kama unahasira zako za 'b' kaa kmya usichangie.MNATUKATISHA TAMAA WATOTO WA KIMASKIN SIYO VZURI Hvyo!!Dah dunia hii, kuulza 2 mlshakwazka wengne mh!