Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,036
- 49,642
Wanajukwaa habari.
Leo kuna tamasha la Tigo Fiesta jijini Dar es Salaam, Uwanja wa Taifa. Sijafanikiwa kwenda, kwasababu flani flani, ila ningependa kupata updates yanayoendelea.
Nilipenda sana uwanja ujae, burudani iwe nzuri kila mtu afurahi, waandaaji, watumbuizaji na walipa kiingilio. Kama kuna mdau wa jukwaa hili yupo viwanjani anaweza tugusia ABC mambo yanavoendelea.
Leo kuna tamasha la Tigo Fiesta jijini Dar es Salaam, Uwanja wa Taifa. Sijafanikiwa kwenda, kwasababu flani flani, ila ningependa kupata updates yanayoendelea.
Nilipenda sana uwanja ujae, burudani iwe nzuri kila mtu afurahi, waandaaji, watumbuizaji na walipa kiingilio. Kama kuna mdau wa jukwaa hili yupo viwanjani anaweza tugusia ABC mambo yanavoendelea.