Mliopo TZ tupeni matokeo ya Yanga mechi ya leo na Vitalo

Freetown

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
883
73
Jamani ombi kwa wenzetu mliopo nyumbani tunaomba kujua matokeo ya mchezo wa leo wa robo fainali kati ya Yanga na Vitalo ya Burundi
 
na yanga wamepiga soka la uhakika kila mtu kakubali, yaani mpaka vital'o wakawa hawafokeani, coz hakuna wa kumlaumu yaani wamezidiwa.
tofauti na piga twende la ndugu zetu jana...
 
Back
Top Bottom