mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
WanaYanga nawasalimu.Kupitia mitandao tunaona picha za Uwanja wa Yanga huko kigamboni.Hebu tupeni dondoo hizi habari ni za kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu INA wadhamini kamaWanatafuta pesa ya kulipa mishahara kwa Sasa uwanja sio kipaumbele
Toka lini Rostam Aziz wa Taifa gas akawa mtu wa mpira? Yeye Siasa na madiliTimu INA wadhamini kama
GSM
Taifa Gas
Sports pesa
Lakini haina mishahara ya wachezaji
Ila INA kamati balaa kila siku wanaunda kamati
Hahahaha, apige dili YangaToka lini Rostam Aziz wa Taifa gas akawa mtu wa mpira? Yeye Siasa na madili