mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Kumbe ndiye yeye aiseeeš yuko vizurii
Aliimba alichokiishi NIKKI
Mangi leo ana raha sana
Kumbe ndiye yeye aiseeeš yuko vizurii
Umenichekesha mkuu, mm nimewaomba wawe na hofu ya Mungu, wewe Tena unataka kupiga bingo Tena mmmmKwa haya maelezo ya kutosha na mm hapa nimeisha inyaka CPA fasta ngoja nitafute kiwanja saa hii nipige beer niwajoin wenzangu wa Bunju kugraduate
Naona unatoa siri za ndani sanaHii fani bna, inahitaji uwe na hofu ya Mungu kweli kweli. Yaan namba moja (1) inaweza kuwa (7), au moja inaweza kuwa (4), au moja inaweza (9) au moja inaweza (6).
Tena bora zimekuja hz accounting parkages nyingi, maana mtindo wa zaman wa manual watu walipiga hela.
Yaan zaman mtu alikuwa anabadirisha figure kuanzia kwenye receipt book, anakuja kwenye cash book ndo usiseme anaonesha imeingia na pia imetumika.
Figure hiyo hiyo akiitoa cash book anaileta kwenye ledger bkama matumiz. ngoma inabadirishwa, akiitoa ledger book anakuja nayo kwenye trail balance ngoma inabalance,
akiitoa hapo, anaileta kwenye final account mpaka mwishoe balance sheet ngoma inabalance.
Akitoka hapo anaenda kwenye expinditure board mnt. Anabadirisha ionekana board ilipitisha, anafaile munts za board. Akitoka apo anaenda kwa mtunza mnt za bod, anaweka mnt fake
Akitoka anaenda kwenye file la vocha za malipo, anaweka vocha yenye receipt fake.
Akija odta, ana angalia kuanzia receipt book anakuta lak 5 ziliingia Kama cash. Badae anachek cash book anakuta lak 5 zimeingia na kutumika , anaenda kwenye ledger anaona lak 5 imetumika.
Anaenda kwenye kwenye board mnt, anakuta lak 5 iliruhusiwa kutumika na wanabid, anatoka hapo anaenda kuangalia vocha ya malipo, anakuta mtu alipokea lak 5 akanunua spare za gar ya bos na list zimewekwa kwenye vocha.
Baada ya hapo odta anasepa na kutoa hati safiii uku muhasibu anabak anamcheka odita. Yaan nyie watu Mungu anawaona........
Mkawe tu waaminifu
Mkewe kaliwa Ila uchokozi mnajitakiaga tuNipo nyuma yako mkuu
Ni kweli ndugu duniani tupo zaidi ya Billion 7, Uhai sio deal kabisa bora ufe mana tupo nyomi sana.
mbona kikwete anakaa msoga?hayo ni majina ya asili.bunju hilo ni jina la samaki.ila bunju beach pamoja na mbweni huko hakuna tofauti na masaki.kuna majumba ya helaaa.nikienda kule uwa nashangaa tuSasa kwa nini waishi eneo lenye jina bayaaa walibadilishe bana kama parkroad, Norfolk, Eton, lancarshire, st. John's ETC
Nlimuona aisee yaan zawadi zinatangazwa hadi nasinzia ile manzi white ni shida asee,I was there dah why sikuuona huu uzi mapema, ulisikia yule CPA (T) mmoja aliyekusanya zawadi tofauti tofauti ya pesa Million 12? Aisee nimetamanii
Uttoh cag?Yupo hapa Uttoh na Nikki wa pili DC Kisarawem
Siku hizi CPA ni utopoloYaani hao wote ni graduates wa CPA???
Hongera sana CPA financial servicesI was there dah why sikuuona huu uzi mapema, ulisikia yule CPA (T) mmoja aliyekusanya zawadi tofauti tofauti ya pesa Million 12? Aisee nimetamanii