kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 266
Tumesikia mishahara serikali ikisema kwamba mishahara itatolewa dirishani kwa muda wa miezi miwili ili kubaini wafanyakazi hewa sasa swali langu kuna watu tunafamilia na tupo nje ya nchi kimasomo familia zetu zinategemea mshahara huohuo!!!!swali ina maana tunatakiwa kupanda ndege kurudi tuje kuchukua madirishani huo mshahara?swali la pili ni miezi ipi hiyo miwili ambayo serikali imepanga kugawia madirishani huo mshahara?tunaogopa mishahara yetu isije ikachakachuliwa tena!!!!maana bongo sasa hivi hapaeleweki kabisa kila siku linazuka jipya na haijulikani kama mtu haupo mshahara wako utapelekwa wapi na kazini uliomba ruhusa hukutoroka!kikubwa ni familia zetu zitaishije!wenyewe tunaweza ishi hata kwa kubeba boksi