mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
nakumbuka enzi hzo mnawakuta form 3 na 4 ndo wababe wa shule full utemi unatumwa kwenda kununua vitu vinvyozidi gharama ya hela unayopewa na kaka wa form 4. mfano anakupa sh 50 af anakwambia kaninunulie maandazi,sabuni ya kipande na ya unga,na chenji irudi daah