Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,052
Wapendwa si haba kuwapongeza wawili wanaopenda na kuamua kuwa mtu mmoja ingawa roho bado mbili lakini uksoma kitabu chetu cha injili unakuwa mwili mmoja....Ndugu zangu wapendwa napenda kuwapongeza wale wote wanaojiandaa kuanza maisha ya ndoa kama mume na mke..ni vigumu kusema lakini ukweli utabaki mliopendana ndio mtakaodumu maishani nanyi mliotamaniana jiandaeni kuanza kiama cha maisha maana maadili ya dini yetu ayaruhusu tena kuanguka madhabahuni unless mwenzio amekutoka dunian.....
Ndugu wapendwa najua wapo wengi wanaofikiria sana jinsi gani ntafanya kumfanya mume wangu asitoke nje ya ndoa kama wanaume wengine..wapo wanaume wanaofikiria ni jinsi gani ntafanya kumweka ndani mke wangu anipende..yapo mengi sana sana na sana lakini kubwa zaidi Ingia kwenye maombi
Tatizo kubwa la wanandoa wengi ni kwamba wanamkumbuka mungu kwenye maombi wakati matatizo yameshaanza na wakati mwingine moto umeshashamiri hata faya ikija inakuwa mhudhuriaji wa shuguli..sasa wewe unaeanza ndoa kesho nakuagiza ukimaliza sherehe anza kuomba kumshukuru mungu kwa kukupa mume bora nasema bora maana jiulize tangu ukue yaani umepitiwa na wangipi umepitia wangapi na leo hii umeona hiki ndicho chombo kutoka kwa bwana...so jitahi uombe mungu aksaidie muishi kwenye amani na upendo kataa roho za nyumba ndogo na leo hii nikupe nyingne kemea roho za mumeo kutembea na ma hgirl..wengi wameamua kufanya mahgirl nyumba ndogo ukifika unaona mwenzio akipokea mzigo kwa hamasa na bashasha kumbe moyoni analo jambo
Kwa wale shuguli zetu leo pia nawatakia maisha mema iingawa bado mnaruhusiwa wa4 lakini kwa hili la leo nakupongeza pia kuitwa kidume..ni wachache wenye nguvu za namna hii na wengi huishia kuwa wahudhuriaji amini aliolewa na wanne na sio kuoa tena vijana mnaelewa maanake...pongezi ziende kwa wa wafungishaji ndoa wa leo na kesho na jua ipo siku kama amjaoa mungu atawapa wenu kutoka mbinguni msikate tamaa ya kufungisha ndoa ....as long ndoa ni kutoka kwa bwana
Kwa wale mliotamaniana na si kupendana ila kutokana na sababu mbali mbali zikiwemo dolali nawapa pole akika si muda mrefu shuguli pevu itaanza nyumbani bila kujua kumbe mmoja alienda na mwingine kutamani...najua ni vigumu kujua alikutamani ama kukupenda lakini hiko ndicho chako ulichoingia nacho kanisani mwombe mungu ambadilishe tabia..
Mwisho nawtakia Ndoa NJEMA yenye fanaka na mabaraka njema isiyo na doa wala wa.....uku wale wazamiaji kama kawaida nawapongeza kwa kujiandaa kuingia kesho bila kadi na mungu awasaidie na nyie muoe tuingie nasi kwenye arusi zenu muone jinsi mnavyotutia hasara mns unbudgeted plp..pamoja na hili tunawakaribisha woteeeeeeeee mliaoalikwa na kadi kumbuka wenzenu wanatamani kadi lakini awajapata na wanaingia kama kawa so jaribu kuheshimu mualiko wa kadi kwenye ndoa ya mwenzio...
Nawatakieni MATAYARISHO MEMA
Ndugu wapendwa najua wapo wengi wanaofikiria sana jinsi gani ntafanya kumfanya mume wangu asitoke nje ya ndoa kama wanaume wengine..wapo wanaume wanaofikiria ni jinsi gani ntafanya kumweka ndani mke wangu anipende..yapo mengi sana sana na sana lakini kubwa zaidi Ingia kwenye maombi
Tatizo kubwa la wanandoa wengi ni kwamba wanamkumbuka mungu kwenye maombi wakati matatizo yameshaanza na wakati mwingine moto umeshashamiri hata faya ikija inakuwa mhudhuriaji wa shuguli..sasa wewe unaeanza ndoa kesho nakuagiza ukimaliza sherehe anza kuomba kumshukuru mungu kwa kukupa mume bora nasema bora maana jiulize tangu ukue yaani umepitiwa na wangipi umepitia wangapi na leo hii umeona hiki ndicho chombo kutoka kwa bwana...so jitahi uombe mungu aksaidie muishi kwenye amani na upendo kataa roho za nyumba ndogo na leo hii nikupe nyingne kemea roho za mumeo kutembea na ma hgirl..wengi wameamua kufanya mahgirl nyumba ndogo ukifika unaona mwenzio akipokea mzigo kwa hamasa na bashasha kumbe moyoni analo jambo
Kwa wale shuguli zetu leo pia nawatakia maisha mema iingawa bado mnaruhusiwa wa4 lakini kwa hili la leo nakupongeza pia kuitwa kidume..ni wachache wenye nguvu za namna hii na wengi huishia kuwa wahudhuriaji amini aliolewa na wanne na sio kuoa tena vijana mnaelewa maanake...pongezi ziende kwa wa wafungishaji ndoa wa leo na kesho na jua ipo siku kama amjaoa mungu atawapa wenu kutoka mbinguni msikate tamaa ya kufungisha ndoa ....as long ndoa ni kutoka kwa bwana
Kwa wale mliotamaniana na si kupendana ila kutokana na sababu mbali mbali zikiwemo dolali nawapa pole akika si muda mrefu shuguli pevu itaanza nyumbani bila kujua kumbe mmoja alienda na mwingine kutamani...najua ni vigumu kujua alikutamani ama kukupenda lakini hiko ndicho chako ulichoingia nacho kanisani mwombe mungu ambadilishe tabia..
Mwisho nawtakia Ndoa NJEMA yenye fanaka na mabaraka njema isiyo na doa wala wa.....uku wale wazamiaji kama kawaida nawapongeza kwa kujiandaa kuingia kesho bila kadi na mungu awasaidie na nyie muoe tuingie nasi kwenye arusi zenu muone jinsi mnavyotutia hasara mns unbudgeted plp..pamoja na hili tunawakaribisha woteeeeeeeee mliaoalikwa na kadi kumbuka wenzenu wanatamani kadi lakini awajapata na wanaingia kama kawa so jaribu kuheshimu mualiko wa kadi kwenye ndoa ya mwenzio...
Nawatakieni MATAYARISHO MEMA