Mliopanda vyeo (maboss), acheni tabia hii

zhang laoshi

JF-Expert Member
Aug 2, 2014
401
469
habari wadau,
unakuta mtu ofisini alikuwa poa sn ukituma sms anajibu japo ana majukumu mengi, tatizo huanza pale anapopanda cheo na kuitwa Boss, sms hajibu na yupo online anasoma ila hana time ya kujibu sms yako, simu ndo usipige hapokei, labda huwa anajua unachotaka so hawapendi usumbufu, mbaya zaidi hata mtu akufahamu hataki hata kuongea wala kukupa muda akusikilize, hv ni kweli huwa mpo busy hivi?, mnafanya kazi gani hasa?, tuache kutengeneza class makazini mnawafundisha wengine waige hizi tabia pindi wakipata vyeo, haipo poa badilikeni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umegusa gusa kidogo somo la management mkuu?boss hatakiwi kuzoena na subordinate wako sana.
So hao jamaa wako sahihi kukulia buyu.
 
Kuna mwanafalsafa fulani hivi, jina limenitoka, alisisitiza kuwa: KIONGOZI NA WATUMISHI ANAOWAONGOZA AISHI NAO KAMA VILE MOTO. AJUE KUWA AKIWA MBALI NAO SANA ATASIKIA BARIDI, PIA AKIWA KARIBU NAO SANA ATAUNGUA
 
Mambo ya kutumiana tumiana sms bila inshu ya maana huwa sina huo muda. Nazo!
Mtu anakutumia sms eti "vip"
Walau hata angeandika vipi iliyokamilika unaweza kumfikiria, sasa anakuandikia "vip"
 
Duh una uliza kwa id hii kishaunajijibu kwa id nyingine kaazi kweli kweli zhang laoshi na lavan island we ni nouma
 
Kila mtu na awe mfalme wa himaya yake
mtu kama hataki mazoea na wewe kataa mazoea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom