Tubadilishane basi mkuu chukua wangu nipe wako , huyo mwenye wivu Mimi Wala hanisumbuiKuna mwanamke mmoja hivi yeye kiasili sio mwizi hata alikua akikuta hela kwenye suruali na mimi nimesahau ananirudishia tatizo lake ni wivu, wivu wa dunia nzima yani nikipigiwa simu na sauti ikasikika ni ya mwanamke hata kama alikua anafanya nini lazima aache aje asikilize naongea nini, lazima aulize nani huyo? Hapo hua ananikera mpaka basi..sisalimiani hadi na majirani, hakuna wa kumchekea hata jirani, nikifanya hivyo mtu atanuna mpaka kupasuka..
MwenyewePodes traduzir por favor
Duh ambao hatujaoa tunaletewa ufunuo mpya kila leo
Muda ni mchawi wa mambo mengi,ila asipobadilika asee mkuu Upo pazuriUsioe mwanamke mwizi. Mke wangu ukimpa 100,000 akanunue kitu akafika kule bei imeshuka, akirudi atakwambia na change anakupa. Akifanya hivyo unamwambia usijali mama hiyo kasukie nywele, au kama katumia atakwambia ilibaki pesa kiasi fulani nikanunua kitu fulani. Kwa huu uzi ulioandika umenifanya nizidi kuamini kuwa mke wangu ni mtu wa muhimu sana
Mmmmmm pole sana mkuuKuna mwanamke mmoja hivi yeye kiasili sio mwizi hata alikua akikuta hela kwenye suruali na mimi nimesahau ananirudishia tatizo lake ni wivu, wivu wa dunia nzima yani nikipigiwa simu na sauti ikasikika ni ya mwanamke hata kama alikua anafanya nini lazima aache aje asikilize naongea nini, lazima aulize nani huyo? Hapo hua ananikera mpaka basi..sisalimiani hadi na majirani, hakuna wa kumchekea hata jirani, nikifanya hivyo mtu atanuna mpaka kupasuka..
Sifa ya mwanaume ni kuhongaUnawaza kuhonga,si bora aibe ili usihonge
Hahahaha pole man tupo wengi tunavumilia tu coz ndio Mungu kakupa huyoKuna mwanamke mmoja hivi yeye kiasili sio mwizi hata alikua akikuta hela kwenye suruali na mimi nimesahau ananirudishia tatizo lake ni wivu, wivu wa dunia nzima yani nikipigiwa simu na sauti ikasikika ni ya mwanamke hata kama alikua anafanya nini lazima aache aje asikilize naongea nini, lazima aulize nani huyo? Hapo hua ananikera mpaka basi..sisalimiani hadi na majirani, hakuna wa kumchekea hata jirani, nikifanya hivyo mtu atanuna mpaka kupasuka..
Hapahapa mkuu hakuna haja ya PM
07568911887
Kama akiomba unampa kwanini atumie njia zingine za mkato?Miongoni wa hao ni wale wenye haiba ya kimaskini basically ni mama wa nyumbani hawana source nyingine ya fedha ya kutatua matatizo yao kama kusuka kununua pedi.vocha nk.halafu wewe mwenyewe akikuomba fedha unamzingua
dawa ni kumpatia hela ya matumizi yake madogomadogo